Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chini ya elf 50Wadau, hizi bag nazikubali sana.. naona zitanitoa sana kwenye safari zangu za pale na kule..
So nahitaji kujua begi zake wakuu..
WanakujaSawa mkuu,,,
Hv hakuna muuzaji humu
Uko wapi nikuletee mm Sina hela sahizSawa mkuu,,,
Hv hakuna muuzaji humu
Huyo kwenye picha ni mchezaji wa simbaHii fashion ya kuweka picha zenu inaongezeka kwa kasi sana hapa ndani, na ndio maana nasema skuizi pamekua na mavijana ya hovyo sana hapa.
Kwahiyo haujui kama nayeye ni memba humu ndani😳🤥Huyo kwenye picha ni mchezaji wa simba
ni mmalawi anaitwa Banda
Umeua soo😊Kwahiyo haujui kama nayeye ni memba humu ndani😳🤥
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba mtoa mada ndio Banda mwenyeweKwahiyo haujui kama nayeye ni memba humu ndani[emoji15][emoji1781]
Hapa umenipa madini mkuu, Sasa nawezaji kujua hili ni Original na hili ni fake.. maana Kama unavyojua bei ya kitu hata Kama ni kubwa haifanyi 100% kuwa OG plus magumashi ya Wabongo..Jaribu kupata orijino. Mimi nilipigwa feki likasambaratika nikiwa eapoti - matairi, huo mkono wa kushikia....vyote ghafla bin vu vikasambaratika tu ikabidi kulitia begani. Ila mashirika ya ndege ya wenzetu welewa nikaenda nikawaeleza nikalicheck in pia bure!
Nunua orijino!
Pengine kununua kwenye maduka ya kuaminika na siyo kwa machinga japo nayo siyo guarantee. Bongo hii ni shida maana watu wanakopi kila kitu yaani....Mimi nilinunua kwa Mangi tu ana kiduka chake pale Mwenge na akanihakikishia kuwa ni orijino kabisa 😬😬😬Hapa umenipa madini mkuu, Sasa nawezaji kujua hili ni Original na hili ni fake.. maana Kama unavyojua bei ya kitu hata Kama ni kubwa haifanyi 100% kuwa OG plus magumashi ya Wabongo..
So nahitaji hints kuhusu hili maana ni Bora nitumie pesa kubwa Ila nipate kitu OG
Matatu alfu tisini?90000Wadau, hizi bag nazikubali sana.. naona zitanitoa sana kwenye safari zangu za pale na kule..
So nahitaji kujua begi zake wakuu..
View attachment 2652146View attachment 2652147
View attachment 2652143
Tapeli huyo, labda ya kuchezea, Hayo mabegi ni around 200k tena Chimbo kwa mtu anayeleta toka China.Matatu alfu tisini?90000
Namdeku hapa anavyohunyahunya.Tapeli huyo, labda ya kuchezea, Hayo mabegi ni around 200k tena Chimbo kwa mtu anayeleta toka China.