westandtogether
Senior Member
- Jul 8, 2020
- 164
- 242
Ya mtu binafsi au kampuni?Habar wadau,
Poleni na majukumu km kichwa Cha habar kisemavyo hapo juu, nahitaji mtu wa kunidhamini bank statement kwaajili ya matumiz ya safari ya nje.
Ambapo tutakubaliana atanitoza kiasi gani?
Kwa maelezo nicheki 0683263330
Ya mtu binafsi mzeeYa mtu binafsi au kampuni?
Anasimama km sponsorBank statement Ina majina na akaunti ya mtu mwingine inakuaje hapo au hainihusu
Sio yoyote tu mzee, yenye mzunguko mkubwaHauna mahusiano mema na majirani na hata marafiki pia.
Mzunguko mkubwa ndio kuanzia sh. Ngapi?Sio yoyote tu mzee, yenye mzunguko mkubwa
Km unayo nichek nikujib yote hayoMzunguko mkubwa ndio kuanzia sh. Ngapi?
kwani green card inahitaji na bank statement?Umeshinda green card Nini?
Bado nasisitiza,hauishi vema na marafiki na majirani pia.Haiwezekani ukawa masikini halafu utafute marafiki masikini watupu.Haujajifunza kanuni ya royco mchuzi mix?Sio yoyote tu mzee, yenye mzunguko mkubwa
watu wanatumia fursa kila jambo...hongera yakoOfa yako shingap nikusaidie labda itanishawishi
Nicheki tu mkuuUnataka bank statement ya sh ngapi??
Nicheki tu mkuu tuyajengeHaya mambo madogo sana kiongozi... una consultation fee nikusaidie chap??
Utekelezaji ubaki juu yako...!
Nicheki tu mkuuOfa yako shingap nikusaidie labda itanishawishi