Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

hahahahaha nimeshindwa kumaliza kusoma siridi yako ngoja naenda kupark kisha narud tena
 
Aiseeeeee
 
Ur standards are so high. Please come down from ur Kilimanjaro
 
Mfungo ukiisha nitafute
 
Mimi nlikua natafuta mke mwenye jina hilo la khadija na alhamdulillah nina sifa za kuwa mumeo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Najua ndege JOHN hawezi kuja na ID ya kike

Ila ni member mkongwe huyu,trust me

Of course, kasema mwenyewe anawafahamu wakongwe.

Changamoto za humu ndani unaweza kukuta unatongoza ID mbili tofauti kumbe ni mtu mmoja, anakuchora tu.

Ndiyo maana nimejikita sehemu moja tu, kwako tu.
 
Hizo sifa ni kiboko. Halafu anakuwa rafiki tu? Mngekuwa wote mna mawazo kama yako hizi mvi zingenikuta nachukua machangudoa au nimepinda mgongo kwa punyeto. Kwa ufupi weye unamuhitaji malaika mpenzi.
 
Tatizo umeshindwa kunyoosha maelezo. ... boyfriend wapo marekani Tanzania boyfriend ni mume ambaye hamjaenda kanisani na msikitini kuidhinishwa
 
Si hivyo unavyonifanyia mara utake kwenda PM ya Bi Khadija mara msimamo wa mapenzi yetu utegemee perfomance ya Klopp....nina moyo ujue

Bora troublemaker ye kaamua aende kwa Bi Khadija sababu anajua mie niko na wewe na amechoka kushare

Siendi kokote, ndo nishafika. Huko kwa Bi Khadija nimepapenda pia, maana pamesababisha competition yangu kwako ipungue.

Nabaki hapa hapa kwako. Habari za Klopp tumeachana nazo tokea jana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…