Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

well said mtoa mada ni kama vile ana tamaa
Ni kweli..mwanamke aliyetulia hapekui pekui sifa za wanaume kibao..anaangalia mwanaume mmoja then anam badilisha awe jinsi atakavyo hiyo ni POWER OF LOVE...ila huyu anaonyesha hata akimpata mwenye sifa Anazotaka kesho akiamka atasema mengine nataka Mrefu au Mweupe...au yani ukiona mwanamke/mwanaume Chambua Chambua kama huyu bidada kwa kisingizio cha ANATAFUTA WA KUENDANA NAE sifa zao ni VIBURI.

Mdada/Mkaka wa type hii huwa wanajionaga wao ni wazuri wamekamilika so hawahitaji mtu tofauti na wao ndio mana masharti yamewajaaa,Hawajui Mapenzi sababu wanahisi wao ni malaika wanataka wafanyiwe kila kitu,hawajui kujishusha Wanapokosea.

Type hii ya mdada/mkaka hutafuta mpenzi only for Show OFF ukitaka gundua hilo soma THREAD ya huyu mdada utagundua anachotafuta sio Rafiki ila ni mtu wa Kuringishia wenzake..eti "awe anaongea English vizuri" lugha ya mtu inahusiana nini na urafiki wenu? wewe tushajua unachotafuta.

Kwa ufupi Thread yako nzuri ila hata hao ulowataja sidhani kama wanataka type of YOU...Sifa yako 1 tu niliyogundua unayo ni "Ujasiri wako wa kujielezea hata kama ni Pumba"
 
That same damn question mleta mada kagoma kujibu [emoji45][emoji45]

Mtoa mada ana too much ego in her sasa wanaume huwa hawawezan na mwanamke wa hivyo...watakaa siku mbil watapigana chini...Huyu dada yupo lonely ila atapata tu mtu wa kumliwaza, there is always this guy who is always loose hata kama ana multiple relationships au married...atamblackmail kwa kuact vitu anavyovitaka dada atadhan amepata alokuwa anamtaka anakuja kugundua jamaa kadanganya wakati its arleady late...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
huo mstari wa mwisho umemaliza kila kitu, cha kusikitisha ndio aina ya wanawake wanaopatikana kwa wingi siku hizi
 

Ila mleta mada anadai anataka rafiki wa kiume,sio wa kimahusiano ya mapenzi teh!
 
Umekuja na kasi lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
 
Nipo namba yangu ya simu hii hapa +1765500219
 
Ambao hatukutajwa hatuna chetu basi sawa
 
Mkuu umeandika ukweli mchungu
 
Ila mleta mada anadai anataka rafiki wa kiume,sio wa kimahusiano ya mapenzi teh!

Ukiona mwanaume amekubali muwe washkaji mia kwa mia its either anarelationship yake wewe anaona hauna nafasi au anakuona haufikii vile viwango vyake anavyovitaka unless otherwise mwanaume hanaga urafiki na mwanamke unless kuna kitu anakitaka...nayeye anasema hataki waume za watu hawa masingle boy hawawez kuvumilia tu kumwangalia mtoto mzuri(if she is), wakae nae wapige nae stori tu wasimtake kimapenz, hayupo mwanaaume wa hivyo...TRUST ME
 
We Cheza tu! Utapata dume jike. Nani kakupa jinsia ya Nyani Ngabu? Sodoku,etc. Hii JF.
Naomba uje kwangu mama! Nakuita mama kwa kuwa ni wewe umesema maana unaweka kuja nikakuta ni bonge ya Dume!

Ila hapa JF yupo na Gwajima ingawa anajificha. Ukinikataa nakutafutia ID yake.
 
Umeandika haupendi dharau wakati mwenyewe una tabia za kihaya,unazingua..
 
Tuheshimiane tu kaka yangu. Mimi sihusiani na hilo kabila hata kidogo. Nakuomba tuheshimiane .mi sipendi maneno na watu

Umeandika haupendi dharau wakati mwenyewe una tabia za kihaya,unazingua..
 
Wewe utapata mwenye sifa zako na sisi wengine tutapata mwenye sifa zetu. Kwa nini umeumia kaka yangu? Hata wewe ulivyo hivyo hivyo utapata wa kukuhitaji. Ila usimpangie mwenzio. Kila shetani na mbuyu wake.

Unaona kama nmekutenga? Binadamu hawapo sawa ingawa wote ni binadamu. Mimi binafsi najua nachotaka. Usiumie nawe utapata wa kukutaka kwa sifa zako. Kwa nini unateseka kaka yangu? Usiteseke

 
Nimesoma kwa utulivu nikafika mahali utulivu ukapotea ghafla [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....! Ukafika mahala utulivu ukapotea?. Najua ulipopotelea utulivu ni wapi? Unasoma kule mwanzo ukajua wewe umempata,kumbe anamtaka gudume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mdada ngoja nije PM tufaamiane zaidi au siruusiwi
 
Nikwambie kitu dear, huwezi kupata mwanaume mwenye sifa zote hizo wote walikufa vita vya pili vya dunia, ndio maana hapo umemtaja Wa kuitwa gudume, joseverest, pascal sio mtu mmoja huyo . Hapo chagua mmoja kutokana na tabia uliyompendea halafu mapungufu utamvumilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…