Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

Nimetulia kwako kwa sababu una kila nachokitaka kutoka kwa mwanamke.

Swala la sisi kutongoza huwa halihusiani na issue za mapenzi, sometimes tunafanya kuwapa comfort jinsia tofauti ili asijione tofauti, au tunakuwa tunatest bargaining/negotiations skills kama bado ziko active.

Me nlikuwa naitaga kupiga tizi, aloo nieacha sikuiz manake naona tu sio poa mtu unamjaza anajaa unamkaushia sasa inakuwa sio ishue..
 
Me nlikuwa naitaga kupiga tizi, aloo nieacha sikuiz manake naona tu sio poa mtu unamjaza anajaa unamkaushia sasa inakuwa sio ishue..

Ubaya kuna level fulani ukishafika unaye mfata anakuwa na expectations fulani ambazo zinamfanya anakubali fasta.

Sasa kumbe wewe ulikuwa unajaribisha tu.
 
Ubaya kuna level fulani ukishafika unaye mfata anakuwa na expectations fulani ambazo zinamfanya anakubali fasta.

Sasa kumbe wewe ulikuwa unajaribisha tu.

Yaaah especially kama alikuwa rafik na anajua lifestyle yako na vitu kama hivyo basi hata kukukatalia anaona kama atakudisappoint kumbe we unatest mitambo, na kitu kibaya zaid ni kumla dem anaejua mambo yako mengi alafu ukamwacha huwa anakuona mnyama sana anaweza akawa anasononeka tu wewe huku unapata laana unakuwa hufanikiwi, me nimeacha sikuiz aisee,
 
Ubaya kuna level fulani ukishafika unaye mfata anakuwa na expectations fulani ambazo zinamfanya anakubali fasta.

Sasa kumbe wewe ulikuwa unajaribisha tu.

Kuna kitoto tulikutana maeneo ya kula sasa jamaa akachelewesha msosi sasa ile kuanza kulalamika ndio convo ikaanzia hapo sasa tukaexchange #, kitoto naona kinakuja kasi me naona noma manake naweza nikakila alafu nikakimbia ambayo sio poa basi me namwangalia tu na muda mwingine namkwepa sababu stail anazojaa nikimla nikimpiga chin atanilaani vibaya mno...Sitaki hyo dhambi sikuiz [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], kinamzigo icho ila navumilia hivyo hivyo daah...
 
My name is khadija ,nina miaka 20 plus. Ni muda mrefu kidogo nmejiunga JF ila nlikuwa napenda zaidi kusoma kuliko kupost au comment chochote.

Kuna watu ambao nmejifunza mengi kwao nikawapenda kuwa marafiki na kutaka kuwa na marafiki wenye sifa kama zao.

Nahitaji Boyfriend (rafiki wa kiume toka Jamiiforums ) awe member zaidi ya Mwaka mmoja ( ili nisome threads zake zote nimfahamu tabia yake)

Awe na sifa nyingi kama za GuDume. Mcheshi,mtu wa stories ( mimi si muongeaji napenda kusikiliza) mwenye vituko na mwenye kujiamini.gudume ana sifa za my ideal man.ila nasikia ameoa.

Awe na utulivu hata akitukanwa kama Joseverest au wakati mwingine Mshana Jr. Ingawa tatizo la mshana ni hayo mambo yake ya shirki ila kutotukana ni jambo jema.

Awe na elimu ya kuanzia Diploma at least. Mwenye uwezo mzuri wa kuzungumza kiingereza. Hili nmeliona kwa GuDume na Nyani Ngabu. Napenda mwanaume anayezungumza au andika kiingereza vizuri.

Kuna mwanaume mwingine anaitwa Sodoku naye nmemsoma na kumwona anaonekana anajali familia yake na mtulivu pia napenda a man with those qualities.

Kuna mwanaume anaitwa Kiduku Lilo huyu anaonekana kuwa na pesa ila mjeuri na mwenye majidai sana.sipendi mwanaume mwenye dharau sana. Ila napenda awe anajiamini.huyu pamoja na kujiamini lakini ana dharau kwa maskini.

Napenda nipate boyfriend mwenye kufuatilia siasa pia kama anavyofanya pascal mayala anaonekana kuwa na ufaham mzuri wa siasa na kufuatilia kwa ujumla.

Mimi ni mdada ambaye nmemaliza chuo mwaka jana. Nmeajiriwa bado naishi kwa wazazi. Nina marafiki wachache sana na sijawahi kuwa na mpenzi na sihitaji kwa sasa.

Nahitaji tu marafiki wa kiume ambao nitashare nao mambo mawili matatu ya maisha hasa baada ya kujikuta napoteza marafiki wengi wa kike sababu wengi wao wanafiki na wenye wivu.

Nimeamua kutafuta marafiki wa kiume baada ya kugundua rafiki yangu wa karibu sana zaidi ya miaka mitatu kumbe amekuwa akipokea pesa kwa wanaume ili wanipate.akitumia jina langu kupata pesa kwao kama ni mimi ndo namtuma.

Nliamua kuachana naye baada ya kugundua hilo kwa wanaume zaidi ya watatu.

Sipendi ukaribu na mtu mwnye akili za kitoto.so i need somebody who is matured.anayefaham maisha na si mpuuzi au mtoto mtoto...sipendi kuwa hata karibu na mwanaume au mwanamke mwenye mdomo mchafu (matusi) kama mmoja wa member humu ndani ambaye naye nimemsoma mara nyingi akitukana au kutishia kutukana wenzie wanapompinga.

Hivyo kama utakuja na matusi sitohangaika kukujibu.napenda tuhehsimiane na kila mtu amheshimu binadamu mwenzie.

Ni hayo tu marafiki zangu.
Duh tafuta gogo chonga kinyago cha mwanaume mwenye sifa hizo asie na kasoro
.
.
.
kila la kheri Khadija
 
As a man I hate to be compared by others...when you are seriously looking for a man don't start comparing men ati awe kama GuDume and so forth, you will loose...

Over
 
Nina sifa zote na kiingereza nachapa bila shida.Welokamuuu
 
Yaani unajidanganya kabisa kwamba utatambua tabia ya mtu kupitia threads zake daaah too bad[emoji23][emoji23][emoji23]
 
The guy you want can only be genetically engineered in the Lab.... Teenagers!! Wapi mnafail... If you want be a Queen make your husband a King....!!
My name is khadija ,nina miaka 20 plus. Ni muda mrefu kidogo nmejiunga JF ila nlikuwa napenda zaidi kusoma kuliko kupost au comment chochote.

Kuna watu ambao nmejifunza mengi kwao nikawapenda kuwa marafiki na kutaka kuwa na marafiki wenye sifa kama zao.

Nahitaji Boyfriend (rafiki wa kiume toka Jamiiforums ) awe member zaidi ya Mwaka mmoja ( ili nisome threads zake zote nimfahamu tabia yake)

Awe na sifa nyingi kama za GuDume. Mcheshi,mtu wa stories ( mimi si muongeaji napenda kusikiliza) mwenye vituko na mwenye kujiamini.gudume ana sifa za my ideal man.ila nasikia ameoa.

Awe na utulivu hata akitukanwa kama Joseverest au wakati mwingine Mshana Jr. Ingawa tatizo la mshana ni hayo mambo yake ya shirki ila kutotukana ni jambo jema.

Awe na elimu ya kuanzia Diploma at least. Mwenye uwezo mzuri wa kuzungumza kiingereza. Hili nmeliona kwa GuDume na Nyani Ngabu. Napenda mwanaume anayezungumza au andika kiingereza vizuri.

Kuna mwanaume mwingine anaitwa Sodoku naye nmemsoma na kumwona anaonekana anajali familia yake na mtulivu pia napenda a man with those qualities.

Kuna mwanaume anaitwa Kiduku Lilo huyu anaonekana kuwa na pesa ila mjeuri na mwenye majidai sana.sipendi mwanaume mwenye dharau sana. Ila napenda awe anajiamini.huyu pamoja na kujiamini lakini ana dharau kwa maskini.

Napenda nipate boyfriend mwenye kufuatilia siasa pia kama anavyofanya pascal mayala anaonekana kuwa na ufaham mzuri wa siasa na kufuatilia kwa ujumla.

Mimi ni mdada ambaye nmemaliza chuo mwaka jana. Nmeajiriwa bado naishi kwa wazazi. Nina marafiki wachache sana na sijawahi kuwa na mpenzi na sihitaji kwa sasa.

Nahitaji tu marafiki wa kiume ambao nitashare nao mambo mawili matatu ya maisha hasa baada ya kujikuta napoteza marafiki wengi wa kike sababu wengi wao wanafiki na wenye wivu.

Nimeamua kutafuta marafiki wa kiume baada ya kugundua rafiki yangu wa karibu sana zaidi ya miaka mitatu kumbe amekuwa akipokea pesa kwa wanaume ili wanipate.akitumia jina langu kupata pesa kwao kama ni mimi ndo namtuma.

Nliamua kuachana naye baada ya kugundua hilo kwa wanaume zaidi ya watatu.

Sipendi ukaribu na mtu mwnye akili za kitoto.so i need somebody who is matured.anayefaham maisha na si mpuuzi au mtoto mtoto...sipendi kuwa hata karibu na mwanaume au mwanamke mwenye mdomo mchafu (matusi) kama mmoja wa member humu ndani ambaye naye nimemsoma mara nyingi akitukana au kutishia kutukana wenzie wanapompinga.

Hivyo kama utakuja na matusi sitohangaika kukujibu.napenda tuhehsimiane na kila mtu amheshimu binadamu mwenzie.

Ni hayo tu marafiki zangu.
 
Kwa mujibu wa kamusi ya kiingereza ya oxford, BOYFRIEND IS A MALE THAT U ARE HAVING A ROMANTIC RELATIONSHIP WITH HIM.
Kwa mujibu wa maekezo yako unahitaji mhusika ajue kiingereza vizuri, nakushauri ukamuone ras simba kwanza wewe binafsi.
 
Bi Khadija

Maandishi yako yanaonesha upeo wako mkubwa wa kufahamu mambo, kuyachambua na kutengeneza hitimisho jadidi.

Kwa upeo huu haiwezekani hukupata boyfriend sahihi wakati unasoma A level, na hasa hasa chuo hiyo miaka mitatu hadi mitano. Ilikuwaje mpaka umehitimu masomo, uko nyumbani mwaka sasa baada ya masomo, huko kazini uendako kote huko hakuna boyfriend sahihi?

Itoshe kukutakia kila la heri, mwenyezi Mungu akujalie furaha ya moyo wako.

c.c Honey Money Penny
 
Ni hii hali ya hewa mkuu inachangia kuficha ficha Mara rafk Mara mpnz ila ungekua muwazi tu kuwa kuna kitu kinapanda mbona kwa umri wako sisi watu wazma na mabaharia tushaelewa shida ni nn
 
My name is khadija ,nina miaka 20 plus. Ni muda mrefu kidogo nmejiunga JF ila nlikuwa napenda zaidi kusoma kuliko kupost au comment chochote.

Kuna watu ambao nmejifunza mengi kwao nikawapenda kuwa marafiki na kutaka kuwa na marafiki wenye sifa kama zao.

Nahitaji Boyfriend (rafiki wa kiume toka Jamiiforums ) awe member zaidi ya Mwaka mmoja ( ili nisome threads zake zote nimfahamu tabia yake)

Awe na sifa nyingi kama za GuDume. Mcheshi,mtu wa stories ( mimi si muongeaji napenda kusikiliza) mwenye vituko na mwenye kujiamini.gudume ana sifa za my ideal man.ila nasikia ameoa.

Awe na utulivu hata akitukanwa kama Joseverest au wakati mwingine Mshana Jr. Ingawa tatizo la mshana ni hayo mambo yake ya shirki ila kutotukana ni jambo jema.

Awe na elimu ya kuanzia Diploma at least. Mwenye uwezo mzuri wa kuzungumza kiingereza. Hili nmeliona kwa GuDume na Nyani Ngabu. Napenda mwanaume anayezungumza au andika kiingereza vizuri.

Kuna mwanaume mwingine anaitwa Sodoku naye nmemsoma na kumwona anaonekana anajali familia yake na mtulivu pia napenda a man with those qualities.

Kuna mwanaume anaitwa Kiduku Lilo huyu anaonekana kuwa na pesa ila mjeuri na mwenye majidai sana.sipendi mwanaume mwenye dharau sana. Ila napenda awe anajiamini.huyu pamoja na kujiamini lakini ana dharau kwa maskini.

Napenda nipate boyfriend mwenye kufuatilia siasa pia kama anavyofanya pascal mayala anaonekana kuwa na ufaham mzuri wa siasa na kufuatilia kwa ujumla.

Mimi ni mdada ambaye nmemaliza chuo mwaka jana. Nmeajiriwa bado naishi kwa wazazi. Nina marafiki wachache sana na sijawahi kuwa na mpenzi na sihitaji kwa sasa.

Nahitaji tu marafiki wa kiume ambao nitashare nao mambo mawili matatu ya maisha hasa baada ya kujikuta napoteza marafiki wengi wa kike sababu wengi wao wanafiki na wenye wivu.

Nimeamua kutafuta marafiki wa kiume baada ya kugundua rafiki yangu wa karibu sana zaidi ya miaka mitatu kumbe amekuwa akipokea pesa kwa wanaume ili wanipate.akitumia jina langu kupata pesa kwao kama ni mimi ndo namtuma.

Nliamua kuachana naye baada ya kugundua hilo kwa wanaume zaidi ya watatu.

Sipendi ukaribu na mtu mwnye akili za kitoto.so i need somebody who is matured.anayefaham maisha na si mpuuzi au mtoto mtoto...sipendi kuwa hata karibu na mwanaume au mwanamke mwenye mdomo mchafu (matusi) kama mmoja wa member humu ndani ambaye naye nimemsoma mara nyingi akitukana au kutishia kutukana wenzie wanapompinga.

Hivyo kama utakuja na matusi sitohangaika kukujibu.napenda tuhehsimiane na kila mtu amheshimu binadamu mwenzie.

Ni hayo tu marafiki zangu.
Gwajima anakufaa kabisa kwa sifa hizi
 
Back
Top Bottom