Nahitaji Coumpany! Yako!

nimekupata mkuu!

Jitahidi kujichanganya kwenye majukwaa mengine pia...uwe hata waingia JF Jokes, Chitchat, MMU, Photo na hata kule Sports kama wewe ni mpenzi wa michezo...hiyo itakupelekea kujenga mazoea ya urafiki na watu wengi hapa jukwaani.
Lakini ukipiga kambi kule utaishia kuwa ni mtu mwenye hasira na kukereka mara kwa mara...
 
 
 
Nikikuja kipande hiyo nitakuletea makabrasha yote Dr...
Halafu kesho nitakucheck hakikisha kilongalonga chako kipo mawinguni eenh...

hebu njoo.......halafu si unajua kuna zile dokumentsi tulitakiwa tubadilishane.....hivi imekuwaje.......?
 
Pole nsaa hebu na wewe jichunguze kwanini wankufanyia hivyo pengine na wewe una matatizo. Naamin huku utawapata coz arusha kuna Wana Jf wengi tu .
 
Pole nsaa hebu na wewe jichunguze kwanini wankufanyia hivyo pengine na wewe una matatizo. Naamin huku utawapata coz arusha kuna Wana Jf wengi tu .[Binafsi kwa upande wangu sina tatizo maana wanaonionyesha hizo ni wale niliowazoea
 
Punguza huo usiriazi utapata marafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…