Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaya hapo ni shobo.Kibaya kipi hapo?
Sidhani....maana urafiki una mambo mengi...hauanzi kirahisi hiviVizuri mno
Sijui kizungu rafiki....tena hapo thigs na thingis ndio umenichanganya kabisa ni mapaja umesema au ni nini?Don't be attached on thigs that they don't last like money and other material thingis
'What were you hiding from them?They turned the page to know more about you,but you was not ready to be known,you find better to burn the book,what you was hiding them?
Jazia jazia tujifunzePombe unakunywa? Unapenda muziki?
Namba 9 hapoMarafiki hawaombwi utakua disappointed.
Chagua hobby mbili tatu, uko ndio utapata wana.
Mfano:
1. Kanisani
2. Msikitini
3. Mpira
4. Jogging
5. Vibanda umiza
6. Betting Office
7. Movies
8. Kusoma vitabu
9. Nenda kanywe kahawa za kishua
10. Bar
nk
😂 si anaombe hapo hapo we ikiwa na bia zako, au mnaenda pamoja kwenye maombi we unapiga bia zako yeye anaoiga maombi yake.. maana si nasikia raha ya bia ni zile kelele za bar??🤣napenda 🍺 rafiki anapenda maombi masaa yote huu urafiki utakua wa njiwa na kunguru, hauexist.
Njoo mwanangu tuishi kingereza Achana nacho masterNatamani nije PM uwe mwanangu wa faida Ila nimepita kwenye komenti zako nimekuta lugha ya kingereza nikaogopa ,ukiwa rafiki yangu ukaanza kuwa unaongea kingereza hatutawezana mwenzio na hiyo lugha ni mbingu na ardhi inanitesa kichwa sana .
Njoo mwanangu tuishi kingereza Achana nacho maNatamani nije PM uwe mwanangu wa faida Ila nimepita kwenye komenti zako nimekuta lugha ya kingereza nikaogopa ,ukiwa rafiki yangu ukaanza kuwa unaongea kingereza hatutawezana mwenzio na hiyo lugha ni mbingu na ardhi inanitesa kichwa sana .