Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Walishakutenda nini?kweli tumetofautiana,, SITAKI MARAFIKI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishakutenda nini?kweli tumetofautiana,, SITAKI MARAFIKI.
sina ham kabisa yanWalishakutenda nini?
Winners Chapel ya pale Njia Panda?Naweza Anza lakini zamani nilikuwa muumini wa winners chapel 😀
nitakudanganya tu,,,moyo umeinamaaaaaaa umechokaaaaa😄🖐🏾Tuwe marafiki basi
nitakudanganya tu,,,moyo umeinamaaaaaaa umechokaaaaa😄🖐🏾Tuwe marafiki basi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Niwakumbushe tu , mleta mada, ndugu FK21 jina lake jingine ni Samia.
Hivyo marafiki wa samia mnatafutwa mumppe kampani
View attachment 3008764
Nilikuwa na demu uko kitu nilikuwa nashangaa Winners kanisa kubwa kidogo ila mchungaji hajulikani kabisa. Wakati kwa Maghembe anajulikana yule mzeeNdiyo segerea
Wakiume kwa kiume hawana shida ila kiume kwa kike, kike kwa kike kwakike anajiroga mwenyewe!
Hapa nimezingua aiseeBar iwe ya 10 kweli??
Utapeli huwa unaanza hivi hiviKama heading inavyojieleza Mimi ni kijana wa kitanzania mpweke haswa sina marafiki in real life. Niko hapa kuomba urafiki na watu wapya ambao tutasaidiana Mambo mbalimbali.
Anyone who is interested PM nikupatie number yangu tuwe tunawasiliana.
ASANTENI
shusha CV yako maana marafiki wwnatakiwa wafanyiwe vetting ya kutoshaKama heading inavyojieleza Mimi ni kijana wa kitanzania mpweke haswa sina marafiki in real life. Niko hapa kuomba urafiki na watu wapya ambao tutasaidiana Mambo mbalimbali.
Anyone who is interested PM nikupatie number yangu tuwe tunawasiliana.
ASANTENI
Basi wewe ni mwenzangu na mie! Huwa sina rafiki hata mtaani kwangu! Hata leo nikiulizwa rafiki yako nani? Sina jibu! Naomba uwe rafiki yangu wewe maana tunaendana!kweli tumetofautiana,, SITAKI MARAFIKI.