Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

King'ang'anizi waheda, tafuta mume muowane. Unajuwaje kama hauna maradhi? Umepima?

Unaokolewa kutenda dhambi bado unang'ania tu. Fanya toba utulizane umrudie Muumba wako.

Hivi maadili mema yamekwenda wapi tanzania hii? Halafu ndiyo tutegemee watoto wema kwa mwanamke kama wewe usiye na haya wala soni?
 
Nope namba yako.
 
Wewe ni mpelelezi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…