Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

Imba tenzi za Rohini hasa wimbo no117,51,97 au kama ni msabato imba wimbo no 43 unaitwa furaha gani na 150 hasha maneno
Ama kama ni mroma tafuta wimbo wa Rc merelani IKULU YA MBINGUNI

Zitakufariji sana

Kama ni muumini wa Mudi tafuta tafuta qaswida yyte
 
Umerogwa sio bure. Hivi mtu afanyeje ili ujue hakupendi hata kidogo yani sina hata la kusema umerogwa
 
Duuh pole..tafuta kitu ambacho kitakufnya uwe bize. Maisha lazima yaendlee Hilo nalo litapita
 



Pole Sana .


Kupenda ni uwezo na huo uwezo ni uwezo wa kupenda mabaya na mazuri .

Kuhusu kuwa na wanawake wengi wanaume wakiswahili kumkuta sio MTU wa wanawake ni kwa uchache Sana.

Ushauri -jitahidi utumie njia ya kushukuru (gratitude) kila ukiyakumbuka maumivu yako wewe shukuru Sana kupitia kushukuru utapata detachment (kuachilia hilo jambo kuanzia moyoni hadi akilini.
 
Mi niliposoma heading nikajua mahusiano serious watu wameachana hadi nikapata huzuni kumbe ushubwada.

Wa kupendana naye ndio huyo? Hata pole hustahili mwaya, saa hizi unatakiwa kupiga goti la shukrani kwa Mungu usonge mbele.
weembona uliachwa ukafosi kurudi?mnafiki mkubwa wewe unashauri kitukilicho kushinda wewe mwenyewe
 
Maumivu ya nini sasa wewe naye ebu kamwe Pepsi, shida mnaonyeshwa mapema ila kulazimisha mambo tulizana
 
Usimuache mwanaume wa hivyo soon atakuwa wakwako peke yako pia punguza wivu HUYO MWANAUME ANARUHUSIWA HADI WANAWAKE 4 VUMILIANENI MAMBO YATAKAA SAWA
 
Vincenzo Jr njoo umrekebishe bibi yako huku
Shule alienda kusomea ujinga
 
Bibi unafoka sana
 
❌Kuyenda
✅Kutenda Cc ephen_
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…