Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

Umeamua
Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.

Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.

Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.

Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !

Hapa niliponinayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .

Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa ninavyomdai anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia ya kuhongwa na wanawake (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka

NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
Umeamua kuuita msiba mzito utakutesa ili kuepuka hiyo kwanza ukubali umeachwa kisha jipige kifua kwamba unanafasi nyingine pia
 
Pole ila nikupe ushauri muhimu.
1.kaa kama mwezi kisha pima afya yako ili ujue amemuacha salama au la.
2.Mfute kabisa kwenye kumbukumbu zako na focus na ishu zingine.
3.Ukipata penzi jipya ondoa matarajio makubwa wanaume sisi sio kila tunayemtongoza huwa tunampenda au kuna wakati ukishampata mtu unakuja kugundua sio mahala safi tunasepa.
4.Jichunguze na wewe kama uko sawa kwenye matendo yako kwa mwenza wako na kama kuna shida jirekebishe.
5.Mwisho ukiwa na mahusiano na mwanaume usiwe kama ruba sometime tunahitaji nafasi sio muda wote kung'ang'aniana.
 
Pole ila nikupe ushauri muhimu.
1.kaa kama mwezi kisha pima afya yako ili ujue amemuacha salama au la.
2.Mfute kabisa kwenye kumbukumbu zako na focus na ishu zingine.
3.Ukipata penzi jipya ondoa matarajio makubwa wanaume sisi sio kila tunayemtongoza huwa tunampenda au kuna wakati ukishampata mtu unakuja kugundua sio mahala safi tunasepa.
4.Jichunguze na wewe kama uko sawa kwenye matendo yako kwa mwenza wako na kama kuna shida jirekebishe.
5.Mwisho ukiwa na mahusiano na mwanaume usiwe kama ruba sometime tunahitaji nafasi sio muda wote kung'ang'aniana.
Asante
Umeamua

Umeamua kuuita msiba mzito utakutesa ili kuepuka hiyo kwanza ukubali umeachwa kisha jipige kifua kwamba unanafasi nyingine pia
Sawa nitalifanyia kazi
Umeamua

Umeamua kuuita msiba mzito utakutesa ili kuepuka hiyo kwanza ukubali umeachwa kisha jipige kifua kwamba unanafasi nyingine pia
Nimeshajipiga kifua kuwa ninayo nafasi nyingine, mimi ni wathamani sana hata X akifa sitahudhuria msiba wake
 
Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.

Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.

Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.

Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !

Hapa niliponinayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .

Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa ninavyomdai anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia ya kuhongwa na wanawake (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka

NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
Pole sana mama njoo kwangu nikupe tulizo la moyo na akili.
 
Back
Top Bottom