Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi nzuri kama hii naitakaView attachment 2465947View attachment 2465949nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
Yani na mi sjawahi kuelewa watu wanaopenda maurembo ya hvyo aseeMakorokoro yote hayo na nini mkuu [emoji276]ama unataka kuwa unaota unakimbizwa na wachawi!
Atakuwa na damu ya Chato. .Makorokoro yote hayo na nini mkuu [emoji276]ama unataka kuwa unaota unakimbizwa na wachawi!
Mcheck huyu yupo vizuriView attachment 2465947View attachment 2465949nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
Kama hiyo anaweza kuipiga?Mcheck huyu yupo vizuri
Makorokoro yote hayo na nini mkuu [emoji276]ama unataka kuwa unaota unakimbizwa na wachawi!
Safi chumba kimetulia.Mcheck huyu yupo vizuri
AnawezaKama hiyo anaweza kuipiga?
Wabongo Bado tupo nyuma, hii urembo mbya kias hcho umeipendea nink mkuu.View attachment 2465947View attachment 2465949nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
Mkuu umeniwahi. There is beauty in simplicity ndio maana nyumba nyingi hasa za wenzetu zuna vitu ambavyo vina flat surfaces bila mapambo yaliyopitiliza na zinavutia. Kuanzia makabati, vitanda sijui meza, kuta za nyumba.Makorokoro yote hayo na nini mkuu [emoji276]ama unataka kuwa unaota unakimbizwa na wachawi!
Mkuu umeniwahi. There is beauty in simplicity ndio maana nyumba nyingi hasa za wenzetu zuna vitu ambavyo vina fla surfaces bila mapambo yaliyopitiliza na zinavutia. Kuanzia makabati, vitanda sijui meza, kuta za nyumba.
Lakini pia ngoja atimize haja ya moyo wake ila mimi big no
usimvunje moyo mwenyewe ameyapendaMakorokoro yote hayo na nini mkuu [emoji276]ama unataka kuwa unaota unakimbizwa na wachawi!
Huu ni urembo ama uchafu?View attachment 2465947View attachment 2465949nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
Unataka kutupangia aina ya urembo?Huu ni urembo ama uchafu?
Well nitakuja kwako. Asante sanaKaribu uhudumiwe boss kwa detail za mwanzo huo.urembo unahusisha kutumia Sana unga unaitwa supersina yan fast finish ndo unafyatua hizo round na mikanda yake kwa kutengenezea mod kiufup gypsum board zibatumika chache Sana call/WhatsApp 0757735884 au tembelea Instagram page yetu Kama highland_decor_solution kaz tunakufanyia saf na kwa bei nafuu tuna punguzo la 30&kwenye labour charge zetu karibu uhudumiwe