Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nichek kwa 0785707660View attachment 2465947View attachment 2465949nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
To each his own Mkuu! Mimi huwashangaa wanaovaa nguo hasa jeans zilizojaa makorokoro.Yani na mi sjawahi kuelewa watu wanaopenda maurembo ya hvyo asee
Mi mwenyewe sitaki makorokoro mengi kama hayo unaweza kudhani uko pub nataka kitu plain white tu sitaki kona wala ngazi.Ingawa kila mtu na chaguo lake .Yani na mi sjawahi kuelewa watu wanaopenda maurembo ya hvyo asee
Mi mwenyewe sitaki makorokoro mengi kama hayo unaweza kudhani uko pub nataka kitu plain white tu sitaki kona wala ngazi.Ingawa kila mtu na chaguo lake .
Hata matako hutofautiana maumbo na ukubwa aheshimu mapendeleo ya mwenzake.usimvunje moyo mwenyewe ameyapenda
Mbona urembo ni kelele sana unapendea Nini? ......View attachment 2465947View attachment 2465949nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
Nenda instagram mtafute mtu mmoja anaitwa juma gypsum anakazi safi sana 🤝View attachment 2465947View attachment 2465949nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
Asante mkuuNenda instagram mtafute mtu mmoja anaitwa juma gypsum anakazi safi sana 🤝
👍🏾👍🏾Asante mkuu
Acha mkuu nilimtembelea jamaa mmoja ni Fundi Magari anagereji yake nakwenda kuservice Gari kwake hadi tumekuwa marafiki.Yani na mi sjawahi kuelewa watu wanaopenda maurembo ya hvyo asee
Inategemea na taste mkuuMpaka yanaumiza macho ...Marangi kiboa sio smart
Hakika mimi pia huwa nashangaa sana nina majirani zangu karibu wote wameweka hayo madudu kila nikifikiria uzuri wake sioni alafu yanakula nafasi sebule inaonekana ndogoYani na mi sjawahi kuelewa watu wanaopenda maurembo ya hvyo asee