Nahitaji fundi Dar mwenye uwezo wa urembo Gypsum kama huu

Nahitaji fundi Dar mwenye uwezo wa urembo Gypsum kama huu

Mh hivi mtu wa kanda ya ziwa na ma taa taa wanaweza kutengana kweli?
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
0717 792 566 mchek huyu alinifanyia kwangu! Wapo vizuri
 
😀 kweli tuko tofauti, sebleni nimepiga 'plain' , mwendo mdundo
 
😂😂nyumba inawakawaka makorokoro kama toys store ...
 
Yani na mi sjawahi kuelewa watu wanaopenda maurembo ya hvyo asee
Mi mwenyewe sitaki makorokoro mengi kama hayo unaweza kudhani uko pub nataka kitu plain white tu sitaki kona wala ngazi.Ingawa kila mtu na chaguo lake .
 
Huo urembo hua tunautafsiri tofauti unakuta mtu alienda club akaona design za mitaataa nae kaweka kwake na mwingine alipoona akaenda kuweka kwake tatizo huanzia hapo, Angalia hata pavement za wazungu hua ni plain kabisa hazina mambo mengi, mazingira ya maisha ya binadamu huhitaji coolness ambayo ni pamoja na cool colours sio crazy colours,
 
Karibu sana tukuboreshee nyumba yako.
View attachment 2468525View attachment 2468524View attachment 2468523View attachment 2468522View attachment 2468527View attachment 2468526View attachment 2468528View attachment 2468529
20201203_180742.jpg
 
Yani na mi sjawahi kuelewa watu wanaopenda maurembo ya hvyo asee
Acha mkuu nilimtembelea jamaa mmoja ni Fundi Magari anagereji yake nakwenda kuservice Gari kwake hadi tumekuwa marafiki.
Alinialika kwenye ubatizo wa mtoto.
Jamaa karemba sebule showcase ya tv imesukwa TV imewekwaje sijui ,maurembo ya juu, taa za juu zimesetiwa kidesign ila Kwa kweli ni nzuri sana.
nikamuuliza hii finishing kwenye sebule imecost sh ngapi akaniambia zaidi ya 20 m.
Nikamwambia kweli kwenye maisha tuna mitazamo na tastes tofauti. Nikamwambia mi siwezi kuremba hivyo nyumba.
Mi binafsi ninauwezo wa kuweka huo urembo kwenye nyumba yangu ninayoishi lakini siwezi kufanya .
I like mean life kama wajapan
 
Yani na mi sjawahi kuelewa watu wanaopenda maurembo ya hvyo asee
Hakika mimi pia huwa nashangaa sana nina majirani zangu karibu wote wameweka hayo madudu kila nikifikiria uzuri wake sioni alafu yanakula nafasi sebule inaonekana ndogo
 
Back
Top Bottom