Kataa Rushwa
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 728
- 765
Nenda Mbinga mkoani Ruvuma kule milimani kwa wakulima wa kahawa ziko kibao zimepaki tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hii ndio sababu ya kutafuta Mandolin ? [emoji38][emoji38] umenikumbusha ukaksi wa mzee gari anaendesha mwingine mliopo ndani ni marufuku kutumia simuNdio mkuu naihitaji maana hizi za automatic zimenishinda kila nikiiacha home mke nae anakuwa dereva
Weka photo Mkuu kuna jamaa mkoani pia alikuwa anazitafuta hizo naweza kukulinkNini nnazo kama mbili zipo kuna moja iko kurasini na nyingine iko msasani zote ni kino moja....0715591141 piga sim bei zake ni 3mln na nyingine ni 3.8m
Ova
Poa naitupiaWeka photo Mkuu kuna jamaa mkoani pia alikuwa anazitafuta hizo naweza kukulink
ninayo mkuu iko poa kabisa inapga kazi kwa morombo kastamuKwa yeyote alie na Land Lover 109 naomba awasliane na Mimi
Kwa yeyote alie na Land Lover 109 naomba awasliane na Mimi
Mkuu inatembea kweli??Mkongwe Huyu hapa
3.5m
Ova
huo utongozaji wa zamani ndugu,si uende yadiKwa yeyote alie na Land Lover 109 naomba awasliane na Mimi
Mkuu inatembea kweli??
Haha naona DHT lakini haiendani na hali yake mkuu..Dadeqqq unamuona mnyama ana namba DHT???
Kuna machalii wa Araa wanawafufua hawa wanyama Mungu hapendi......
Mkuu...yaani afadhali...natafuta sana body tupu aisee...ngoja niku pmnenda kwa jamaa wa breakdown, andaa 3m mkononi.
otherwise body tupu utapata kwa 700k.
ujiandae pia kununua spana zote unazozijua wewe na nyundo nzito.
Nimecheka, Eti jamaa ajiandae na spana zote!anyway pia ajishughulishe kuwafahamu watu wa engineering maana spare zake ni za kuchonga.nenda kwa jamaa wa breakdown, andaa 3m mkononi.
otherwise body tupu utapata kwa 700k.
ujiandae pia kununua spana zote unazozijua wewe na nyundo nzito.
ingia kupatana ipo 6.5milKwa yeyote alie na Land Lover 109 naomba awasliane na Mimi
Kwa yeyote alie na Land Lover 109 naomba awasliane na Mimi
Weka Picha mkuuNini nnazo kama mbili zipo kuna moja iko kurasini na nyingine iko msasani zote ni kino moja....0715591141 piga sim bei zake ni 3mln na nyingine ni 3.8m
Ova
Hivi hili jina la Mandolin lilitokea wapi?Inawezekana we uliyoiona ni landrover 110 defender...Jamaa anataka 109..arusha inaitwa mandolin.