Nahitaji gari toleo la Land Rover 109

Nahitaji gari toleo la Land Rover 109

nenda kwa jamaa wa breakdown, andaa 3m mkononi.
otherwise body tupu utapata kwa 700k.
ujiandae pia kununua spana zote unazozijua wewe na nyundo nzito.
Na shida kubwa hizi gari ni TRA,
Yani ukikuta hii gari haidaiwi basi wewe ni ndugu na malaika.
Zina madeni makubwa mmmmnoo. Hasa hao jamaa wa brake down ndio huwa hawa lipi chochote.
 
Kaka nitagute kwa namba hii mimi ninalo linatembea linahitaji marekebisho madogo tu namba ya sim ni 0715426668
1e24a91be2067c980e62bb116bc8d05c.jpg
Mkuu hili posta haliingii nitalipa hadi damu
 
Mkuu, Landrover 109 naifahamu kupita maelekezo... Kwenye miaka ya 1980-90 mzee wangu alikuwa ni mkuu wa chuo na hizo gari ndio walikuwa wamepewa kila chuo... Pia mwaka 94 tulikuwa tunamiliki Landrover 109 mpaka mwaka 98 hiv. Mwaka 2001 wakati naenda driving school nilijifunzia kuendesha gari kwenye Landrover 109... So you can imagine jinsi ninavyozijua hizo gari na wala siwezi kuchanganya na 110!
Hizo ndio gari, chuma mtupu! Zipo chache zinatembea bei yake juu!
 
Na shida kubwa hizi gari ni TRA,
Yani ukikuta hii gari haidaiwi basi wewe ni ndugu na malaika.
Zina madeni makubwa mmmmnoo. Hasa hao jamaa wa brake down ndio huwa hawa lipi chochote.
Kuna gari nimeipost hapo 109 hadi stika ya Road license haidawi wala nn.......gari ni kino moja kazi kwake hyo mtakaji kama Yuko serious hiyo ndy gari inalobidi alione aikagueee
Kama mnunuzi hatoliachaaa

Ova
 

Attachments

  • IMG-20170420-WA0159.jpg
    IMG-20170420-WA0159.jpg
    51.9 KB · Views: 114
  • IMG-20170420-WA0160.jpg
    IMG-20170420-WA0160.jpg
    68.4 KB · Views: 132
  • IMG-20170420-WA0161.jpg
    IMG-20170420-WA0161.jpg
    75.6 KB · Views: 144
  • IMG-20170420-WA0162.jpg
    IMG-20170420-WA0162.jpg
    80.1 KB · Views: 137
  • IMG-20170420-WA0163.jpg
    IMG-20170420-WA0163.jpg
    85 KB · Views: 126
  • IMG-20170420-WA0164.jpg
    IMG-20170420-WA0164.jpg
    77.1 KB · Views: 129
Sawa mkuu....ila 109...20m mkuu???duuu parefu sana hapo....ilikuwa mpya labda...ila sidhani kama bado zinatengenezwa.
Unatafuta gari ambayo ni adimu ktk soko. lazima bei itakuwa juu. Pengine si kiasi unachofikiria. Hata kwa wenzetu walioendelea kwa gari aina ya mandolin. Kwa sasa utaipata kwenye museum tu. Na bei itakuwa juu hata kushinda land Rover ya kisasa.
Arusha, utapata ukitembelea minada sehemu za kikatiti. King'ori na maeneo ya Meru.
 
Unatafuta gari ambayo ni adimu ktk soko. lazima bei itakuwa juu. Pengine si kiasi unachofikiria. Hata kwa wenzetu walioendelea kwa gari aina ya mandolin. Kwa sasa utaipata kwenye museum tu. Na bei itakuwa juu hata kushinda land Rover ya kisasa.
Arusha, utapata ukitembelea minada sehemu za kikatiti. King'ori na maeneo ya Meru.
Syo kweli bei zake mln3 mpaka 4 ikizidi sana 5

Ova
 
Sawa mkuu....ila 109...20m mkuu???duuu parefu sana hapo....ilikuwa mpya labda...ila sidhani kama bado zinatengenezwa.
Hizo ni classic cars kwa sasa, ukikuta iko full restored kwa wenzetu zinakwenda hata zaidi ya 50M!
 
Back
Top Bottom