Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,714
- 2,376
You are wrong!Mkuu 109 ni tolea la zamani haliwezi kuwa show room mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are wrong!Mkuu 109 ni tolea la zamani haliwezi kuwa show room mkuu
KUNA GARI NIMEIPOST NASHANGAAA HUJANIPA MAREJESHO GARI HYO NI JINO MOJA ......AU HUJALIONA ?MAANA SIKUSOMIAsante Mkuu japo ni palefu
109 bei zake ni mln 3 hadi 5 mkuu...kuna gari nimeipost humu ila naona watu wanarukaruka TUNdio shida ya huku ukiandika mil 3 mnasema gari mbovu au ni ya wizi bei mzee ukiongea nae anapunguza
Kupata yard ni kazi sana 109 imetengenezwa 1969 ukiukuta yard basi ni zali.......You are wrong!
Mkuu kwani gari za manual transmission ni land Rover pekeeNdio mkuu naihitaji maana hizi za automatic zimenishinda kila nikiiacha home mke nae anakuwa dereva
Nimeliona Mkuu lakini kwa jinsi lilivyo ni dhahiri limechakaa hilo linafaa kubebea majani ya Mifugo Mkuu nikiliweka barabarani naamin ile mikono ya wavaa nguo nyeupe itanisumbua sana Mkuu japo lipo full documents lakini hawatanielewa kabisa MkuuKUNA GARI NIMEIPOST NASHANGAAA HUJANIPA MAREJESHO GARI HYO NI JINO MOJA ......AU HUJALIONA ?MAANA SIKUSOMI
OVA
Mando ni wapi mkuuKuna jamaa apa kino anazifufua hizo Mando then anauza! Anaitwa Wakawaka kama sikosei
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Yaani hilo gari ukiendesha lazima steering iwe inaplay. Yani dereva unakuwa busy kupita maelezo. Ukijiroga ukaachia usukani, ghafla ukanyage kikokoto, lazima gari uikite mtaroni.
Weka offer yako basi ya kununuliaNimeliona Mkuu lakini kwa jinsi lilivyo ni dhahiri limechakaa hilo linafaa kubebea majani ya Mifugo Mkuu nikiliweka barabarani naamin ile mikono ya wavaa nguo nyeupe itanisumbua sana Mkuu japo lipo full documents lakini hawatanielewa kabisa Mkuu
Ila nashukuru sana Mkuu kwa kuonyesha ushirikiano
Hiii gari ni herufi #DMkongwe Huyu hapa
3.5m
Ova
Iyo gar unaijua????huo utongozaji wa zamani ndugu,si uende yadi
Its becoming a classic car, expect it in more yards!Kupata yard ni kazi sana 109 imetengenezwa 1969 ukiukuta yard basi ni zali.......
Ova
Hahahaha, eti kwenye Museum tu!!Unatafuta gari ambayo ni adimu ktk soko. lazima bei itakuwa juu. Pengine si kiasi unachofikiria. Hata kwa wenzetu walioendelea kwa gari aina ya mandolin. Kwa sasa utaipata kwenye museum tu. Na bei itakuwa juu hata kushinda land Rover ya kisasa.
Arusha, utapata ukitembelea minada sehemu za kikatiti. King'ori na maeneo ya Meru.
Mkuu hapo KinondoniMando ni wapi mkuu
Je umeshapata mshitiri? kama bado niambiye tufanye biashara.Mbona kuna picha nmeipost ya 109 nashangaa hutoi marejesho..
Ova
Badoo mkuuJe umeshapata mshitiri? kama bado niambiye tufanye biashara.