Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo anaomba indirect.hajaomba laki nane kaomba kazi akusanye laki nane
Ungeweka picha ako tuone kama unaniliuu..ya kutushawishi kukulilipia 😁😁😁Habari wanajukwaa
Mimi ni binti wa miaka 28 nimesoma diploma ya pharmacy changamoto niliyonayo ni kusikia nimemaliza chuo 2020 sjabahatika kupata Chet nadaiwa sina wazazi.
Naombeni mnisaidie jamani hata kazi yoyote tafadhal nichukue chet changu asanteni Mungu awabariki.
..kuwa kipa....tafuta mfadhili mdakishe mpira...hiyo laki 8 ndogo...kuwa TU kipa tight...na msafi...Habari wanajukwaa
Mimi ni binti wa miaka 28 nimesoma diploma ya pharmacy changamoto niliyonayo ni kusikia nimemaliza chuo 2020 sjabahatika kupata Chet nadaiwa sina wazazi.
Naombeni mnisaidie jamani hata kazi yoyote tafadhal nichukue chet changu asanteni Mungu awabariki.
Hata haifurahishiUsiseme wewe ni Binti wa Miaka 28 Sema hiviiiii
Wewe Ni shangazi wa Miaka 28 Au Mama uliyefiwa (mjane) maana ushatoa mimba Tatu. Sasa anzia hapo
YATIMA mwisho MIAKA 18Mkuu tufungulie cod's na wengine tusanuke..
Watoto wa laana huwa hamjifichiUsiseme wewe ni Binti wa Miaka 28 Sema hiviiiii
Wewe Ni shangazi wa Miaka 28 Au Mama uliyefiwa (mjane) maana ushatoa mimba Tatu. Sasa anzia hapo
Niko darUko wapi?
Ndo Nini..kuwa kipa....tafuta mfadhili mdakishe mpira...hiyo laki 8 ndogo...kuwa TU kipa tight...na msafi...
Ndio ntawezaUnahitaji kazi gani? Kazi ya mshahara 100k utaweza kufanya?
Hujafa hujaumbika nduguUsiseme wewe ni Binti wa Miaka 28 Sema hiviiiii
Wewe Ni shangazi wa Miaka 28 Au Mama uliyefiwa (mjane) maana ushatoa mimba Tatu. Sasa anzia hapo
....atoe tiGo...Ndo Nini
Dah pole sana aisee🤔 nliwahi pata shida ya sikio Moja...nlisaidika mapema sana saivi naskia vzr kbs.Hao jamaa wamezingua ..ninachomshauri huyo dada asitumie kutokuwa na wazazi au tatizo la kusikia kama chambo ya huruma za. Watu..Bora yeye ana cheti Mimi niliishia chuo mwaka wa pili civil engineering kwa tatizo hilohilo la kusikia liliponianza..
Asichojua hata wazazi wangekuwepo ilibidi yeye ndo awahudumie!YATIMA mwisho MIAKA 18