africatuni
Member
- Nov 13, 2023
- 69
- 169
NaamMia km Mia?
Nina frame kubwa so naweza weka godoro akalala ndaniGodoro na chumba
Yaan 3,300 per day kula kulala juu yako boss au ndio hapo hapo?Naam
Yaan 3,300 per day kula kulala juu yako boss au ndio hapo hapo?
Wapo wanaoweza, ukiona haikufai tulia.Kuwa serious kidogo..100K kabisa,hata kama ni kujifunza Kazi Hapana.I say a big No!Alale ndani ya frame ikiwaka Moto awe mkata!
Sijaelewa unamaanisha nini Kafara?Dom nzima, contact zako zote, kijijini kwenu kote umekosa kafara mpaka utake wa jf?
Huwezi elewa kwasababu huna uelewa.Sijaelewa unamaanisha nini Kafara?
Tulia basi Wewe inaelewa nini?Huwezi elewa kwasababu huna uelewa.
Sawa.Tulia basi Wewe inaelewa nini?
Tafuta muha Wa kigomaNina frame kubwa so naweza weka godoro akalala ndani
Kula na kulala juu ya nani?Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.
Call 0753233879
Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
Kheeeh yaan alale ndani ya Frame? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina frame kubwa so naweza weka godoro akalala ndani