Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sisi wngn tunalala dukani pembeni kuna unga wa ugali, mafuta ya taa yn mahitaji yote ya kila siku tunalala nayo?Kheeeh yaan alale ndani ya Frame? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee boss em jitafute kwani, ukizipata ndo uite kijana akufanyie jambo lako.
Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"godoro lipo"! Hiyo ni playstation au sexstation?Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.
Call 0753233879
Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
Anaonekana hana utu! Hata msosi inaonekana unajinunulia mwenyewe kwenye hiyo 100kKheeeh yaan alale ndani ya Frame? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee boss em jitafute kwani, ukizipata ndo uite kijana akufanyie jambo lako.
Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu nipatie hiyo nafasi maana nina uzoefu nayo pia kwa mwaka1Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.
Call 0753233879
Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
mkuuNahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.
Call 0753233879
Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
bro vp ile inshu? BNahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.
Call 0753233879
Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
We ulale kitandani,mwenzio alale chini..mmekulia mazingira gani watu kama nyie mna maroho mabaya kiasi hiki?Nina frame kubwa so naweza weka godoro akalala ndani