Nahitaji kijana wa kusimamia Play Station yangu Dodoma. Mshahara 100k

Nahitaji kijana wa kusimamia Play Station yangu Dodoma. Mshahara 100k

Kheeeh yaan alale ndani ya Frame? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee boss em jitafute kwani, ukizipata ndo uite kijana akufanyie jambo lako.
Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona sisi wngn tunalala dukani pembeni kuna unga wa ugali, mafuta ya taa yn mahitaji yote ya kila siku tunalala nayo?
 
Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.

Call 0753233879

Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
"godoro lipo"! Hiyo ni playstation au sexstation?
 
Kheeeh yaan alale ndani ya Frame? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee boss em jitafute kwani, ukizipata ndo uite kijana akufanyie jambo lako.
Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anaonekana hana utu! Hata msosi inaonekana unajinunulia mwenyewe kwenye hiyo 100k
 
Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.

Call 0753233879

Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
mkuu nipatie hiyo nafasi maana nina uzoefu nayo pia kwa mwaka1
 
Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.

Call 0753233879

Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
mkuu
 
Nahitaji kijana serious wa kiume haraka wakusimamia playstation Centre, ipo Chaduru Dodoma, karibu na Dodoma rafiki hotel.. godoro lipo.

Call 0753233879

Nahitaji Kijana mjanja tushirikiane kutengeneza pesa pia mwenye nia ya kujifunza namna ya kuendesha biashara, fursa ndo hizi
bro vp ile inshu? B
 
Back
Top Bottom