Nahitaji kuifanya hii biashara endapo nikipata mshirika wa kuniwezesha

Nahitaji kuifanya hii biashara endapo nikipata mshirika wa kuniwezesha

Gerald1

Senior Member
Joined
Jan 17, 2022
Posts
107
Reaction score
147
Ni biashara ya usambazaji wa nyama za mbuzi katika mabar hapa mjini dar es Salam.

Mbuzi unawatoa mikoani na kuwaingi hapa ndani na kuwa chinja na kuchuna na kisha kuwasambazia ware walio kupa oda ktk mabar

MFANO umepokea oda za bar 30 na zote ukapereka mbuzi kwa Bei ya 110000 na ukawa unafuata kwa week hela yako je unazani utakua unaingiza kiasi gani ndani ya week na hapo hapo kumbuka kuna utumbo ujausambaza kwa mamantilie na kila mbuz mmoja utumbo wake ukaukabiz kwa elf 10000 ambapo akimaliza biashara unafuata au wamwambia akutumie


NAOMBA NISAPOTI HARAFU MIMI NITAKUREJESHEA KWA SIKU KAMA MAANDIKO YA KISHERIA YATAVYO SEMA KUTOKANA NA KIASI UTAKACHO TOA.

TanzaniaMeat.jpg
 
Papara nyingi,,, weka idea yako vizuri ieleweke,,,,.
Unataka business partner, au unataka mtaji, au unataka connection za wateja ?(ma -bar)!!! Au Ni ushauri unaomba ?
Connection ninazo mr kitalembwa me naitaji niwe narejesha kwa siku mbona nimeelezea vyema tu.
 
NA KAMA KUNA PARTNER ANATAKA AWEKEZE TUWE WOTE NI SAWA PIA.
 
Biashara inaonekana nzuri Sana hii, Sasa mkuu wewe unataka soko, M'bia au mtaji? maana andiko lako limeacha maswali mengi Sana...
 
NIELEWESHE VYEMA NYANA NAPEREKA KWA WENYEKUMILIKI MAJIKO YA BAR WAO NDIO WATAWAUZIA WATEJA WAO KTK BAR
 
Aisee... ungesema mbuzi katoloki ningekuelewa.... lakini mbuzi huyuhuyu mbuzi.... mbuzi kama mbuzi ambaye anapimwa na tumbo lake hazidi kilo 30..... MBUZI HAWA KWA BAR NAJUA NI LAZIMA BAR IWE YAKO.....
 
Naona unazunguka tu m'buyu, kwanini usifunguke tu kwamba unatafuta mtaji wa biashara ulio ichanganua??
 
Biashara inaonekana nzuri Sana hii, Sasa mkuu wewe unataka soko, M'bia au mtaji? maana andiko lako limeacha maswali mengi Sana...
Mtaji ndio nauitaji zaidi au partner anae itaji WEKEZA tukawa wote na kuhusu masoko sinawasiwasi nayo.
 
Aisee... ungesema mbuzi katoloki ningekuelewa.... lakini mbuzi huyuhuyu mbuzi.... mbuzi kama mbuzi ambaye anapimwa na tumbo lake hazidi kilo 30..... MBUZI HAWA KWA BAR NAJUA NI LAZIMA BAR IWE YAKO.....
Asikudanganye mtu wew me nimeurizia sana tu katika mabar sijakurupuka kwanza mbuzi analiwa na wengi yeye anatabaka la kidini na pia wenyewe husema kwa hapa dar es Salam mbuzi ni bei sana ukiuza upati faida sana na ndio Mana mtuabarazimika kuweka nyama nyingine maana mbuzi amnunue 150,000 amuandae amuuze kapata sana 40_30 sa Kama fuata mikoani kwa Bei ya 50 adi 60 ukaja ukawapa kwa 110,000 unazani yeye atashindwa pata faida ya kutosha na kingine kumbuka pombe haibagui nyama Mr njemba soro.
 
Huu uzi mbona kama niliuona last week? Ni mtu mmoja au ni ume copy na ku paste?
 
Naona unazunguka tu m'buyu, kwanini usifunguke tu kwamba unatafuta mtaji wa biashara ulio ichanganua??
Nimemaanisha mshirika atakae wekeza fedha na tukafanya biashara pamoja au Kama boss anipe mtaji na nimrejeshee kulingana na fedha alio weka kwa kila siku mpaka mwaka Kama wanavyo fanya madereva wa vyombo.
Naona unazunguka tu m'buyu, kwanini usifunguke tu kwamba unatafuta mtaji wa biashara ulio ichang
 
Ni mim ndugu na ata wakiiba idea me si nipo bawaunbua2
Kwaza vijana wahapa dar es Salam wengi ni wavivu kutembea mikoani kwa hiyo watapata tabu sana kukusanya mzigo maana mim najua niingie vipi nirud na mzigo ata mbuzi 50 kwa ruti moja2
 
Hakuna biashara rahisi.
Ukiandika hapa Jf inawezekana, ingia sasa ndiyo utajua hujui.

Nina hasa atanunua mbuzi kwa 110000 wakati wanapajua mahali zinakopatikana?

Wauzaji wa nyama ya mbuzi ni wachache sana wasikuwa na connection ya moja kwa moja mahali mbuzi wakopatikana kwa bei ya chini, nyama unazoona zinauzwa kwenye bar, siyo kwamba wameuziwa na mfanyabiashara mwingine.

Wao huenda kununua huko katika vijiji na minada halafu huzileta katika machinjio wakishalipa ada ya kuchinja wanachukua nyama zao tayari kwa ajili ya kuchoma kwenye kios chake.
 
Kuongea rahisi
Sana Kama mtu anatoa bajaji au gar kwamtu ambae atamjui arejeshewe kwa siku we utahofu lipi nakati kunasheria na mashahid wengi wanaohofuaga huachafursa inapita na yeye hubaki parapare pasipo ata kuenderea mbele na ndio Mana nikaandika partner tufanye wote biashara au boss naona wewe unetazama ktk uboss nakati Imani una.
 
Mr West standard .........Sikupingi uneangaria kwa jicho rako, je wewe kama wew unajua kila mkoa umbuzi bei rahisi, na je unajua kuhusu usafirishaji na makato ya barabara, na je unajua jinsi ya kuyakwepa wewe yaan mzee acha mi nimechunguza sana kuhusu hili tusipingane uwezi kwenda nchukua mbuzi mmoja eti ujemae huku ni garama na ndio Mana wengiwao hununua mbizi hapahapa mjini unavyo ongea yakupasa uwe unajua Zaid usiongee tu irimladi nawe umechangia
 
Back
Top Bottom