Nahitaji kuifanya hii biashara endapo nikipata mshirika wa kuniwezesha

Nahitaji kuifanya hii biashara endapo nikipata mshirika wa kuniwezesha

Aisee... ungesema mbuzi katoloki ningekuelewa.... lakini mbuzi huyuhuyu mbuzi.... mbuzi kama mbuzi ambaye anapimwa na tumbo lake hazidi kilo 30..... MBUZI HAWA KWA BAR NAJUA NI LAZIMA BAR IWE YAKO.....
Na kingine sio kila bar wanauza ngurue wew or ukokwenu kila bar inauza hiko kitu.
 
Ule ulipotea na haukufikia muafaka je kunakipima Cha majalida
Na je unataka ukiona wewe tu iwe inatosha mbona kunamada zipo mwezi na Zaid azija badirika vip mimi ndio niwe kero kwako ...... au kunasiku nilikuja kuziongerea vbaya hoja zako.
 
biashara dhahania/za kwenye makaratasi zinalipa sana, ingia uwanjani uone uhalisia sasa
 
biashara dhahania/za kwenye makaratasi zinalipa sana, ingia uwanjani uone uhalisia sasa
Hii si bishara ya nguo mzee wala sio ya bucha mpaka watu waje hii ni ya kupereka ktk m-bar yaan ni razima mtu aitaji kula nyama ili pombe isimtawale
 
ulishawahi kuifanya kabla au ndio unaanza?
Hii si bishara ya nguo mzee wala sio ya bucha mpaka watu waje hii ni ya kupereka ktk m-bar yaan ni razima mtu aitaji kula nyama ili pombe isimtawale
 
Nirisha wahi Ila irikuwa ni ya kaka angu.
 
WALIMWENGU WALIMWENGU JAMANI NILIVYO LETA PENDEKEZO RANGU KWA UMMA MALA YA KWANZA NA KUSEMA MKOANI MBUZI ELF 40 MPAKA ELF 50 MLIPINGA NA WENGINE KUTUKANA KABISA.. ...WATU WA MIKOANI HUKO WAKANISAIDIA KUWASIBITISHIA KWAMBA NI KWELI MBUZI MIKOANI KWAO KUANZIA 40 HADI 60 MKAWA KIMYA LEO MNALETA MADA NYINGINE ILIMRADI TU KUKATISHANA TAMAA. ...... UNAKUTA WENGIWAO WA HIVYO AWANA ELA WALA IDEA WAFANYE NINI KAZI KUPINGA WEZAO NA KUPOTEZEANA MATUMAINI..............TUELIMIKENI JAMANI SIO MNAPINGA TU BILA YA KUCHUNGUZA .
 
WALIMWENGU WALIMWENGU JAMANI NILIVYO LETA PENDEKEZO RANGU KWA UMMA MALA YA KWANZA NA KUSEMA MKOANI MBUZI ELF 40 MPAKA ELF 50 MLIPINGA NA WENGINE KUTUKANA KABISA.. ...WATU WA MIKOANI HUKO WAKAINI WAKAWASIBITISHIA KUA NI KWELI MBUZI MIKOANI KWAO KUANZIA 40 HADI 60 MKAWA KIMYA LEO MNALETA MADA NYINGINE ILIMRADI TU KUKATISHANA TAMAA. ...... UNAKUTA WENGIWAO WA HIVYO AWANA ELA WALA IDEA WAFANYE NINI KAZI KUPINGA WEZAO NA KUPOTEZEANA MATUMAINI..............TUELIMIKENI JAMANI SIO MNAPINGA TU BILA YA KUCHUNGUZA .
HUYO MBUZI WA ELF 40/ 50 UNAFAHAMU ANA UZITO GANI?
 
Papara nyingi,,, weka idea yako vizuri ieleweke,,,,.
Unataka business partner, au unataka mtaji, au unataka connection za wateja ?(ma -bar)!!! Au Ni ushauri unaomba ?
Nimejiuliza kwanini asitulie akandika kitu kikaeleweka ... binafsi nimeqmbulia patupu cjui anataka nini
 
WALIMWENGU WALIMWENGU JAMANI NILIVYO LETA PENDEKEZO RANGU KWA UMMA MALA YA KWANZA NA KUSEMA MKOANI MBUZI ELF 40 MPAKA ELF 50 MLIPINGA NA WENGINE KUTUKANA .. ...WATU WA MIKOANI HUKO WAKAINI WAKAWASIBITISHIA KUA NI KWELI MBUZI MIKOANI KWAO KUANZIA 40 HADI 60 MKAWA KIMYA LEO MNALETA MADA NYINGINE ILIMRADI TU KUKATISHANA TAMAA. ...... UNAKUTA WENGIWAO WA HIVYO AWANA ELA WALA IDEA WAFANYE NINI KAZI KUPINGA WEZAO NA KUPOTEZEANA MATUMAINI..............TUELIMIKENI JAMANI SIO MNAPINGA TU BILA YA KUCHUNGUZA .p
Nimejiuliza kwanini asitulie akandika kitu kikaeleweka ... binafsi nimeqmbulia patupu cjui anataka nini
Acheni akuna nilie mrazmisha tufanye hiki kitu umeona aikupendezi acha me nimeomba tu ku ungwana.
 
WALIMWENGU WALIMWENGU JAMANI NILIVYO LETA PENDEKEZO RANGU KWA UMMA MALA YA KWANZA NA KUSEMA MKOANI MBUZI ELF 40 MPAKA ELF 50 MLIPINGA NA WENGINE KUTUKANA KABISA.. ...WATU WA MIKOANI HUKO WAKANISAIDIA KUWASIBITISHIA KWAMBA NI KWELI MBUZI MIKOANI KWAO KUANZIA 40 HADI 60 MKAWA KIMYA LEO MNALETA MADA NYINGINE ILIMRADI TU KUKATISHANA TAMAA. ...... UNAKUTA WENGIWAO WA HIVYO AWANA ELA WALA IDEA WAFANYE NINI KAZI KUPINGA WEZAO NA KUPOTEZEANA MATUMAINI..............TUELIMIKENI JAMANI SIO MNAPINGA TU BILA YA KUCHUNGUZA .
Jifunze tofauti ya R na L mkuu utafika mbali
 
Mr West standard .........Sikupingi uneangaria kwa jicho rako, je wewe kama wew unajua kila mkoa umbuzi bei rahisi, na je unajua kuhusu usafirishaji na makato ya barabara, na je unajua jinsi ya kuyakwepa wewe yaan mzee acha mi nimechunguza sana kuhusu hili tusipingane uwezi kwenda nchukua mbuzi mmoja eti ujemae huku ni garama na ndio Mana wengiwao hununua mbizi hapahapa mjini unavyo ongea yakupasa uwe unajua Zaid usiongee tu irimladi nawe umechangia
Biashara za magazetini zote huwa zina faida nono sana. Huwa hakuna yenye hasara.

Mkuu hebu turahisishe kazi ili mambo yasiwe mengi, kwahiyo we ulikuwa unaomba ukopeshwe kiasi gani? Na utarudisha shs ngapi kila siku kwa huo mwaka mzima??

Pia jitahidi sana kuwa unaandika vizuri, maana mwandiko wako haushawishi mtu wa aina yoyote yule kutoa hela na hapa ndio unatumia keyboard 🤔
 
HUYO MBUZI WA ELF 40/ 50 UNAFAHAMU ANA UZITO GANI?
Unapewa kutokana na ela yako maana dume kubwa uzito ni 50 hadi 70 amboa ni wanao uzwa elf 60 had elf 80 na hao wa elf 40 had 50 ni wale wenyeuzito wa 40 had 50 nazani umeelewa me hii biashara sijaingia kichwakichwa mzee .... ebu JAMANI nduguzangu mliopo mikoani mnisaidie kuniereweshea hawa waungwana.
 
Biashara za magazetini zote huwa zina faida nono sana. Huwa hakuna yenye hasara.

Mkuu hebu turahisishe kazi ili mambo yasiwe mengi, kwahiyo we ulikuwa unaomba ukopeshwe kiasi gani? Na utarudisha shs ngapi kila siku kwa huo mwaka mzima??

Pia jitahidi sana kuwa unaandika vizuri, maana mwandiko wako haushawishi mtu wa aina yoyote yule kutoa hela na hapa ndio unatumia keyboard 🤔
Asante kwa hiro Ila kwa anaejua biashara ni maesabu awezi jaji maandishi yakisomeka tu ni mwanga tosha katika biashara... bajeti ya kiasi nitakutumia katika inbox yako.
 
Back
Top Bottom