Nahitaji kuifanya hii biashara endapo nikipata mshirika wa kuniwezesha

Nahitaji kuifanya hii biashara endapo nikipata mshirika wa kuniwezesha

WALIMWENGU WALIMWENGU JAMANI NILIVYO LETA PENDEKEZO RANGU KWA UMMA MALA YA KWANZA NA KUSEMA MKOANI MBUZI ELF 40 MPAKA ELF 50 MLIPINGA NA WENGINE KUTUKANA KABISA.. ...WATU WA MIKOANI HUKO WAKANISAIDIA KUWASIBITISHIA KWAMBA NI KWELI MBUZI MIKOANI KWAO KUANZIA 40 HADI 60 MKAWA KIMYA LEO MNALETA MADA NYINGINE ILIMRADI TU KUKATISHANA TAMAA. ...... UNAKUTA WENGIWAO WA HIVYO AWANA ELA WALA IDEA WAFANYE NINI KAZI KUPINGA WEZAO NA KUPOTEZEANA MATUMAINI..............TUELIMIKENI JAMANI SIO MNAPINGA TU BILA YA KUCHUNGUZA .
Mbona unalialia sana mtoto wa kiume..si ukafanue hiyo biashara kwani lazima upate mtu huku JF.

Wapambanaji halisi hua hawaji kulialia humu jf

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejiuliza kwanini asitulie akandika kitu kikaeleweka ... binafsi nimeqmbulia patupu cjui anataka nini
Wewe nikiuliza unafanya biashara gani nitaambulia patupu ata genge ujue kuliendesha Zaid zaid utakufa ukawaacha wanao waki jiuliza kuwa urikuwa ukifanya nini mda wote ata biashara huna......... Na kingine inaonekana nikisimama Mimi na wewe Mimi ninah
 
Natumai mungu ataniongoza vyema nitauza kiwanja changu cha 20 kwa 20 nitaongezea kiasichangu ili tupate banda zuri la kuwaandalia hao mbuzi .... Ni mwenye furaha sana sasa kidogo nipo katika njia ya mafanikio yangu.
Usiuze kiwanja njoo nikukodishe banda
 
Asante kwa hiro Ila kwa anaejua biashara ni maesabu awezi jaji maandishi yakisomeka tu ni mwanga tosha katika biashara... bajeti ya kiasi nitakutumia katika inbox yako.
Mkuu huoni kuwa ni vyema ukaandika hapa hapa ulipoombea hiyo hela?? Kwani unachotaka kuficha ni nini??
 
Nawashukuru sana wote mlio nisapot na kunipa changamoto za kujua Kama kweli na nia au ni wakuzuga namshukuru ndugu yangu Dada angu alie niamini na kuniwezesha milioni2 na nakuahidi kuto kumuangusha kabisa hiki alicho wekeza now ndio naiona ela yake sasa nilivyo kutana nae kumuerezea sikua kabisa na Imani nae Ila yeye kaniamini .. .. ASANTENI WOTE NA MUNGU AWATIZAME VYEMA.
Mmmh
Hapa tumepigwa na kitu kizito
 
Oky nipe namba zako ili tuongee vyema
 
WALIMWENGU WALIMWENGU JAMANI NILIVYO LETA PENDEKEZO RANGU KWA UMMA MALA YA KWANZA NA KUSEMA MKOANI MBUZI ELF 40 MPAKA ELF 50 MLIPINGA NA WENGINE KUTUKANA KABISA.. ...WATU WA MIKOANI HUKO WAKANISAIDIA KUWASIBITISHIA KWAMBA NI KWELI MBUZI MIKOANI KWAO KUANZIA 40 HADI 60 MKAWA KIMYA LEO MNALETA MADA NYINGINE ILIMRADI TU KUKATISHANA TAMAA. ...... UNAKUTA WENGIWAO WA HIVYO AWANA ELA WALA IDEA WAFANYE NINI KAZI KUPINGA WEZAO NA KUPOTEZEANA MATUMAINI..............TUELIMIKENI JAMANI SIO MNAPINGA TU BILA YA KUCHUNGUZA .
Huo mkoa unao uongelea ni upi mkuu
Nipo Ushirombo -Geita
Bei ya mbuzi ambaye kidogo anatazamika kwa kulika
Bei ni tshs 65000+
 
Huo mkoa unao uongelea ni upi mkuu
Nipo Ushirombo -Geita
Bei ya mbuzi ambaye kidogo anatazamika kwa kulika
Bei ni tshs 65000+
Geita akunambuzi wengi huko nakatka mikoa yenyembuz kutaja kwa wingi geita haipo ata kwahiyo ni lazima2 mbuz awe na Bei peleleza penyemifugo mingi utajua unafuu now utanisamee kwa kuwa ndio biashara ninayo itazamia kwa Sasa.
 
Asikudanganye mtu wew me nimeurizia sana tu katika mabar sijakurupuka kwanza mbuzi analiwa na wengi yeye anatabaka la kidini na pia wenyewe husema kwa hapa dar es Salam mbuzi ni bei sana ukiuza upati faida sana na ndio Mana mtuabarazimika kuweka nyama nyingine maana mbuzi amnunue 150,000 amuandae amuuze kapata sana 40_30 sa Kama fuata mikoani kwa Bei ya 50 adi 60 ukaja ukawapa kwa 110,000 unazani yeye atashindwa pata faida ya kutosha na kingine kumbuka pombe haibagui nyama Mr njemba soro.
Ukifanikiwa hii biashara kwa ulichokiandika hapa. Njoo nikuongeze mtaji wa milioni moja bure kama bonus.
 
Back
Top Bottom