Nahitaji kujifunza Martial Art

Hii kitu inaua sana nguvu za miguu!

Ashakum si matusi! Sijawahi kufanya mapenzi ila kuna siku niliingiwa na mdudu gani sijui (astaghfirullah) nikajichua halafu jioni nikaenda tizi! Miguu haikuwa na nguvu na inawahi kuchoka.
Kwahiyo sisi tuliooa hatuna chetu hapa ama vipi mkuu?
 
Aisee nilisikia squart zinafanya mtu uwe na hamu sana ya ngono sasa kama ulikuwa unapiga nyingi hivyo 50+ ulikuwa unajikontroo vipi. Umewahi kufikusha squart 100? Je ni zipi unapiga.... zile za kubeba kitu flani kizito au zile plain za bila kubeba kitu? Pia je zipi ni nzuri kati ya hizo?
 
Unataka kujifunza Martial arts kwaajili ya kulipiza kisasi??

Martial arts ni sanaa kama Sana'a.zingine, ikitokea Bahati mbaya sana ndio itabidi uapply kwaajili ya kujilinda sio kuua

Nenda Arusha kuna Dojo nyingi na Trainers wa kutosha
 
Kwahiyo sisi tuliooa hatuna chetu hapa ama vipi mkuu?
Hapana, mtaweza ila hamtakuwa na Perfomance nzuri kama wasiooa au kuendekeza sex, ila kama unaweza kufanya tendo la ndoa kwa wiki mara moja, kwa mwezi mara nne haina shida

Ila pombe na sigara itabidi uachane navyo
 
Shadow boxing ni ipi? Au ndiyo ile ya kina tyson!!!
Unapiga ngumi nyingi hewani,unakwepa,unatumia footwork yako pia,yaani zoezi hili unafanya wewe mwenyewe
Inakutengenezea speed pia na uwepesi
Wakati unatoa punch unatumia mwili wako wote
Alafu inasaidia kupunguza calories mwilini sana
Mimi mtu wa mtungi ila bila vimazoezi ningeshafeli

Ova
 
mwenye connection ya mwalimu mzuri wa martial art, simple techniques, zinazofunzika Kwa haraka... anisaidie.

location : songea town.

nataka nibadili mfumo wa mazoezi naona huku kwenye soccer vijana wataniua bure ......

Ikiwa ni tofauti na shotokan karate itakua poa zaidi ........boxing hapana.
 
Ungekuwa Dar ningekuunganisha kwa jamaa zangu, wapo wawili na wote wana Dojo zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…