Nahitaji kujifunza Martial Art

Nahitaji kujifunza Martial Art

Wasalaaaaam wazee.

Ni kwa muda mrefu sana nimekuwa nikipenda kujifunza sanaa za mapigano.

Sasa wadau naamini humu kuna wakongwe na wajuzi wa mambo haya mnaweza kunipa ushauri...

Je ni sanaa ipi ya mapigano iko strong kwa maana ya self defence, sihitaji kuwa mkorofi ila mtu akijichanganya vibaya hilo pigo atakalopewa akasimulie ukoo wao wote.

Nipo Mbeya. Kwa wanaojua mkoa wa mbeya mafunzo hayo nitayapata wapi naomba anijuze.

Kuna ishu iliniitokea juzi siku ya iddi mosi, nikaenda pub moja hivi matata sana kwajili ya kupata ulabu na mbuzu choma kidogo

Sasa nikiwa mule ndani kuna jamaa mmoja tukazinguana vikali tu nikasimama kwajili ya mpambano maana naye alionesha wazi anataka tupigane.....nikajipanga mkao wa vita sasa...... Eebwanaeeee nilikula pigo moja hivi la ajabu kisha akanimalizia na teke moja hivi nikaona sasa huyu simuwezi maana anaonekana anamafunzo ya kupigana wakati mimi sina. Nikataka kumtwisha chupa la kvant wadau wakaja kuzuia pale.

Na mimi nataka kujua kupigana maana sasa tunakoelekea sio kuzuri.
kumbe ni wewe mkuu, hahahah
 
Wasalaaaaam wazee.

Ni kwa muda mrefu sana nimekuwa nikipenda kujifunza sanaa za mapigano.

Sasa wadau naamini humu kuna wakongwe na wajuzi wa mambo haya mnaweza kunipa ushauri...

Je ni sanaa ipi ya mapigano iko strong kwa maana ya self defence, sihitaji kuwa mkorofi ila mtu akijichanganya vibaya hilo pigo atakalopewa akasimulie ukoo wao wote.

Nipo Mbeya. Kwa wanaojua mkoa wa mbeya mafunzo hayo nitayapata wapi naomba anijuze.

Kuna ishu iliniitokea juzi siku ya iddi mosi, nikaenda pub moja hivi matata sana kwajili ya kupata ulabu na mbuzu choma kidogo

Sasa nikiwa mule ndani kuna jamaa mmoja tukazinguana vikali tu nikasimama kwajili ya mpambano maana naye alionesha wazi anataka tupigane.....nikajipanga mkao wa vita sasa...... Eebwanaeeee nilikula pigo moja hivi la ajabu kisha akanimalizia na teke moja hivi nikaona sasa huyu simuwezi maana anaonekana anamafunzo ya kupigana wakati mimi sina. Nikataka kumtwisha chupa la kvant wadau wakaja kuzuia pale.

Na mimi nataka kujua kupigana maana sasa tunakoelekea sio kuzuri.
Nicheki dm kama upo seriously
 
Hatujuani mkuu, pia hujui mimi ni nani zaidi ya fake ID, Hujui maisha niliyopitia, hujui kazi yangu asili ni nini, hujui mpaka sasa nna 35+ nimepitia harakati zipi za maisha, hujui nimenusurika mara ngapi kufa

Kifupi mimi ni cha mtoto bado nahitaji kujifunza, nikikwambia wasifu wa walionifundisha mimi ndo utajua kwamba mimi ni cha mtoto

Pia sijasema kwamba kila pambano nitashinda, ila asili ya kombat ni kuua, kusababisha kilema cha maisha na kuvunja
Na yenyewe haihitaji pumzi sababu haipo kwa ajili ya mashindano ipo kwa ajili ya kujilinda na adui pia unaambiwa kabisa, "KOMBAT HAINA MAJARIBIO".
Sababu yenyewe inahusisha kupiga maeneo hatarishi
Yapo mengi ningeweza kuandika hapa, kifupi nilianza kufundishwa nikiwa nna 19yrs mpaka nafikisha 28yrs, wakati naanza nilikua napenda sana ugomvi ila baadae nikaanza kuogopa nikiona sehemu ina dalili ya ugomvi natafuta njia mapema

Ni sanaa nzuri ya kujilinda ila ukitaka uinjoi usiwe mkorofi, pia hata kama unapenda ugomvi ila kule unaandaliwa kisaikolojia hata kama wewe ni mtukutu ukitoka kule unabadilika sana kitabia

Kifupi unafundishwa mambo mengi sana

Ila sasa natafuta mwalimu wa Kravmaga
Kweli mkuu kombat ni nzuri lkn hawezi kufundishwa raia wa kawaida ukiona mtu anajua kombat jiulize mara mbili
 
Kuna aina ya mapigano ambayo inamiiko yake ambayo huwezi ukamfundisha raia wa kawaida ikiwemo kombat naongea nikiwa na uzoefu wengi wao ni watu wenye mafunzo maalum waliopata nje ya nchi wengi wao wameshika sana dini ni watu wapole mpaka wanasikiliza cd empty just a joke lkn ndo hivo
 
Kwa wanaohitaji kujifunza Martial arts,
Self - defence
Wanaweza kunicheki

Tuma neno "Martial arts"
0693322300

Uwe Dar es salaam.

Dojo lipo Upanga karibu na ubalozi wa uswizi,
Jingine Mikocheni Pale Azura.

Tsh 15,000 Kwa kipindi,
Kwa mwezi 140,000/=
Kama unataka kujifunza mchezo kwa kupigana hutakaa ujue na ukijua utaishia polisi


Mkuu nakuchek nipashe nshaanza ota nyama uzembe
 
Kuna aina ya mapigano ambayo inamiiko yake ambayo huwezi ukamfundisha raia wa kawaida ikiwemo kombat naongea nikiwa na uzoefu wengi wao ni watu wenye mafunzo maalum waliopata nje ya nchi wengi wao wameshika sana dini ni watu wapole mpaka wanasikiliza cd empty just a joke lkn ndo hivo
Yes, upo sahihi, mpaka sasa najivunia kitu kimoja tu, nikiingia anga za wenyewe nasikilizwa sijui bado wana info zangu,
Naamua kuishi maisha ya kawaida sana lakini kuna muda nalazimika kuzima simu
 
Acha ugomvi kwanza,
martial arts zipo nyingi sana, ila kama hutaki kupoteza muda piga kick boxing au muay thai... Very offensive and deadly

karate inahitaji program ya kuanzia 4 to 6 months ya awali kitu ambacho wengi huishia njiani wanakimbia.

kick boxing na muay thai hazina mlolongo wa kata kama karate kikubwa kujituma, unawewa kuwa poa kuanzia 1 to 4 months unakarisha 2 to 4 unarmed men (ordinary).
Wapi dar es salaam wanafundisha muay Thai mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kwa wanaohitaji kujifunza Martial arts,
Self - defence
Wanaweza kunicheki

Tuma neno "Martial arts"
0693322300

Uwe Dar es salaam.

Dojo lipo Upanga karibu na ubalozi wa uswizi,
Jingine Mikocheni Pale Azura.

Tsh 15,000 Kwa kipindi,
Kwa mwezi 140,000/=
Za aina gani toa package tuzijue.shotocan,gujuruu,ninja,judo, mortal kombat,karate,masumbwi,kickbox,nk
 
Hatujuani mkuu, pia hujui mimi ni nani zaidi ya fake ID, Hujui maisha niliyopitia, hujui kazi yangu asili ni nini, hujui mpaka sasa nna 35+ nimepitia harakati zipi za maisha, hujui nimenusurika mara ngapi kufa

Kifupi mimi ni cha mtoto bado nahitaji kujifunza, nikikwambia wasifu wa walionifundisha mimi ndo utajua kwamba mimi ni cha mtoto

Pia sijasema kwamba kila pambano nitashinda, ila asili ya kombat ni kuua, kusababisha kilema cha maisha na kuvunja
Na yenyewe haihitaji pumzi sababu haipo kwa ajili ya mashindano ipo kwa ajili ya kujilinda na adui pia unaambiwa kabisa, "KOMBAT HAINA MAJARIBIO".
Sababu yenyewe inahusisha kupiga maeneo hatarishi
Yapo mengi ningeweza kuandika hapa, kifupi nilianza kufundishwa nikiwa nna 19yrs mpaka nafikisha 28yrs, wakati naanza nilikua napenda sana ugomvi ila baadae nikaanza kuogopa nikiona sehemu ina dalili ya ugomvi natafuta njia mapema

Ni sanaa nzuri ya kujilinda ila ukitaka uinjoi usiwe mkorofi, pia hata kama unapenda ugomvi ila kule unaandaliwa kisaikolojia hata kama wewe ni mtukutu ukitoka kule unabadilika sana kitabia

Kifupi unafundishwa mambo mengi sana

Ila sasa natafuta mwalimu wa Kravmaga
Sikubishii kwa ambayo umeelezea kiukweli upo sahihi sana japo hiyo Sanaa ili ufundishwe yenyewe kabisa katika uhalisia wake kuna eneo la kwenda ambalo ni wachache tu hufika.

Kama ulivyosema pia inahitaji mtu ambaye anajitambua 100% si mtu ambaye anahitaji kujua kwa ajili ya malipizi ya ugomvi wa bar.

Wenye hiyo Sanaa hadi kufikia hatua akaitumia maana yake ulionyesha wazi umefikia hatua ambayo ulikuwa unaleta maafa kwa ukawaida muhusika lazima ataondoka aonekane mjinga kuliko matokeo ya Sanaa yake endapo ataitumia na ndiyo maana kitabu cha mtaala mwanzoni tu unapofunua kinakwambia THESE MAN ARE LEARNING KILLING SKILLS NOT SPORT.
 
Nilijifunza combat since hata sijaingia chomboni mwl alifundishwa na retired special force pande za pwani huko ni ni moja ya art ambayo ni deadly sana although ngumi sio za kujisifia kila mchezo ni mzuri inatokana umemaster vipi
OSS Tuonane kama bado una pasha
 
Back
Top Bottom