ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Yeye tu ashindwe mwenyewe akifika tarakea mpakani pale atakutana na shuttle za nairobi moshi arusha....adandie hapoIkishindikana aende Arusha au Rombo akifika huko wenyeji watampa namna ya kufika kwa kuwa ni mipakani lazima watakuwa na connection.