Yeye tu ashindwe mwenyewe akifika tarakea mpakani pale atakutana na shuttle za nairobi moshi arusha....adandie hapoIkishindikana aende Arusha au Rombo akifika huko wenyeji watampa namna ya kufika kwa kuwa ni mipakani lazima watakuwa na connection.
Mdau kumbe dfr kashanyoosha mikono juu.....Kutoka Namanga to Nairobi Ksh 1,200 inatosha
Hyo inaitwa dunia inazunguka bongo matajiri wanaweka mguu kupima majiMdau kumbe dfr kashanyoosha mikono juu.....
Ila alikaa sana ile njia nadhani ten yearsHyo inaitwa dunia inazunguka bongo matajiri wanaweka mguu kupima maji
aldeo Mtamba wa Panya
Curfew ni saa nne usiku imeanza na si saa sita atleast kwa counties zingine hii sheria si kali, lakini kwa Nairobi hii sheria ya curfew ni kali imepelekea vijana wengi sana kupigwa risasi na polisi na kuuawa (remember this)
Pia from Namanga to Nairobi masaa ya kusafiri hayapo fixed sababu ya foleni ukifika Mombasa road kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea
Kabla ya korona walianza kusuasua na ilivyokuja Basi bado hawajaweza kuendelea labda wanasubir korona iishe kabisa.Ila alikaa sana ile njia nadhani ten years
Nzuri kabisa mkuu,sijui wewe,....PM tuyajengeBudaaa, habari za masiku[emoji4] tusanue wanao dili za huko +254 Bongo uduanzi mwingi tunataka na sisi tubadili mazingira