Nahitaji kujua uwezo wa umeme wa 3 phase wa Tanesco

Nahitaji kujua uwezo wa umeme wa 3 phase wa Tanesco

Afisa Mteule Drj 2

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2017
Posts
3,865
Reaction score
4,506
Kutokana na shughuli zangu za mashine mbalimbali za kuchakata mazao.Nilifungiwa umeme wa 3 phase.Ambao kwa wakati mmoja unaweza kuendesha mashina tatu mashine moja ya alizeti ina mota yenye ukubwa kama.mota za mashine za kusaga na.mashine nyingine 2 zina mota ndogo zisizozidi 2Kw.Motor zote ni za phase 3.Ninatarajia kuongeza mashine nyingine 3 zenye motor kubwa kuliko hata za mashine ya kusaga kuna motor moja ina 22Kw .Swali langu ni je huu umeme niliofungiwa unaweza ku-run mashine zote hizi kwa wakati mmoja.Au nitatakiwa kuongeza mita nyingine ya phase 3 TANESCO



Moja ya mashine ni kama hii hapa chini
Pict1.JPG
 
Kutokana na shughuli zangu za mashine mbalimbali za kuchakata mazao.Nilifungiwa umeme wa 3 phase.Ambao kwa wakati mmoja unaweza kuendesha mashina tatu mashine moja ya alizeti ina mota yenye ukubwa kama.mota za mashine za kusaga na.mashine nyingine 2 zina mota ndogo zisizozidi 2Kw.Motor zote ni za phase 3.Ninatarajia kuongeza mashine nyingine 3 zenye motor kubwa kuliko hata za mashine ya kusaga kuna motor moja ina 22Kw .Swali langu ni je huu umeme niliofungiwa unaweza ku-run mashine zote hizi kwa wakati mmoja.Au nitatakiwa kuongeza mita nyingine ya phase 3 TANESCO



Moja ya mashine ni kama hii hapa chini
View attachment 2606045
Mtafute fundi wa umeme aliyekufungia hizo mashine za awali.
 
Nenda kamtafute mkandarasi apige hesabu zake atakujibu kitaalamu.
Namaanisha fundi aliyesomea na mwenye uzoefu na leseni ya ukandarasi. Ukimkosa nenda TANESCO watakupatia contacts za wakandarasi maarufu wanaotumiwa na wateja wao.
 
Sipo kwenye umeme Ila Kwa uelewa wangu hakuna haja ya Mita mpya hapo cha kuongeza ni wiring yenye Stata box na circuit idadi sambamba na mota unazoongeza
Na assume mashine zote ziwe na uwezo wa kufanya kazi kwa wakati mmoja nahisi hata hizo mita pengine zina kiwango cha current kinachotakiwa pengine kikizidi inajikata
 
unanatarajia kuongeza mashine za ukubwa gani ?
umesema 22kW, je kwa zote 3 ? 66kW ?
kama ndiyo tanesco watakuuzia transformer
hongera kwa kua na kiwanda
Ni mota nzito nzito tu kuna ya 22kw,nyingine ni kama unayoiona hapo pichani juu kwenye mashine,kuna nyingine tena 2 kubwa zenye KW si chini ya 15.Swichi za baadhi ya mashine ni hizi
20230204_174836.jpg

20230204_175024.jpg
 
unanatarajia kuongeza mashine za ukubwa gani ?
umesema 22kW, je kwa zote 3 ? 66kW ?
kama ndiyo tanesco watakuuzia transformer
hongera kwa kua na kiwanda
Ni mota nzito nzito tu kuna ya 22kw,nyingine ni kama unayoiona hapo pichani juu kwenye mashine,kuna nyingine tena 2 kubwa zenye KW si chini ya 15.Swichi za baadhi ya mashine ni hizi
View attachment 2613738
20230204_175024-jpg.2613739

View attachment 2613740
 
Back
Top Bottom