Nahitaji kujua uwezo wa umeme wa 3 phase wa Tanesco

Nahitaji kujua uwezo wa umeme wa 3 phase wa Tanesco

22kw × 100= ?kw

Mkuu hesabu za umeme hazipigwi hivyo. Umeme sio mandazi kwamba tupo wanne tununue manne.😁

Nirudi kwenye mada. Kwanza wanaokwambia unahitaji Transformer ni waongo, unaweza kukuta kijiji kina Tranformer moja kina Mashine za kusaga 10 hapo hapo kijijini.

Kwa kukusaidia tuu ili kupunguza gharama na kukutoa hofu na jambo lako, mwite fundi mzuri itategemea na main switch yako ni aina gani lakini best ni Tronic au Havels naamini Circuit Breaker hapo ni Amp 100 na Cut out zako hapo nje naamini zitakuwa Amp 100 na waya wake unaopokea umeme kutoka kwenye main line kuleta kwenye main switch uwe ni mm 25 kuendelea usipungue kama wamekuwekea mdogo basi utaubadiri maana unakwenda kutanua matumizi ya umeme hapo kwako.

Baada ya hapo nunua Isolator tatu za Amp 100. Fundi atoe Fuse baadhi zisizotumika azipange isolator hizo tatu aache fuse za kusambaza umeme wa taa na matumizi mengine kwenye panel/main switch yako.

Asiguse ule mfumo ambao tayari upo kwenye mashine hizo zinazofanya kazi yeye atengeneze mfumo mwingine kukidhi hizi mashine unazotaka kuongeza kwa kuongeza fuse na isolator hapo hapo. Isolator ya kwanza kati ya hizi zinazoongezwa itatupa umeme kwenye starter box ya kusukwa ambayo itahodhi starter tatu za kusukwa kwa pamoja katika box moja.
Namananisha usinunue starter nunua vifaa vyake Contactor, overload etc visukwe kwenye hiyo box kama pea tatu.

Kwa kufanya hivyo kila starter box kubwa moja itakuwa na starter motor 3 ndani yake kuwasha mashine tatu. Hivyo utakuwa na panel mbili za kuwasha mota sita.

Baada ya hapo fundi atachukua waya Armoured Cable Millimetres hata 17 kutoka katika Isolator kuleta katika Starter box moja, hakikisha fundi aweke Isolator nyingine ndani ya Starter box ipokee umeme.

Mota zilizopo mbali na hilo li starter box utatumia push buttons kuwasha kuipeleka mpaka karibu na ukuta wa mota husika ila starter yake itakuwa ndani kati ya haya maboksi starter mawili.

Faida ya huu mfumo ni:
Utadumu na starter "kupiga" Contactors maana utachagua Aina nzuri za contactors tofauti na kununua ya Mchina ndani zinakuwa sio nzuri, lifespan fupi kila uchao matengenezo ni gharama.

Utaounguza gharama ya mastata kibao hada Armoured Cable ambazo ni gharama we mwenyewe unajua.

Utakuwa na uhakika na mfumo wako kwa maana ya ubora wa vitu na usalama wake hapo ndani kwako.

Utapunguza ghara ya waya Armoured Cable maana stata zitakuwa pamoja na utawasha kaa push buttons ambazo zina waya wa bei rahisi.

Kama sijaeleweka utauliza bosi.
 
Mkuu hesabu za umeme hazipigwi hivyo. Umeme sio mandazi kwamba tupo wanne tununue manne.😁

Nirudi kwenye mada. Kwanza wanaokwambia unahitaji Transformer ni waongo, unaweza kukuta kijiji kina Tranformer moja kina Mashine za kusaga 10 hapo hapo kijijini.

Kwa kukusaidia tuu ili kupunguza gharama na kukutoa hofu na jambo lako, mwite fundi mzuri itategemea na main switch yako ni aina gani lakini best ni Tronic au Havels naamini Circuit Breaker hapo ni Amp 100 na Cut out zako hapo nje naamini zitakuwa Amp 100 na waya wake unaopokea umeme kutoka kwenye main line kuleta kwenye main switch uwe ni mm 25 kuendelea usipungue kama wamekuwekea mdogo basi utaubadiri maana unakwenda kutanua matumizi ya umeme hapo kwako.

Baada ya hapo nunua Isolator tatu za Amp 100. Fundi atoe Fuse baadhi zisizotumika azipange isolator hizo tatu aache fuse za kusambaza umeme wa taa na matumizi mengine kwenye panel/main switch yako.

Asiguse ule mfumo ambao tayari upo kwenye mashine hizo zinazofanya kazi yeye atengeneze mfumo mwingine kukidhi hizi mashine unazotaka kuongeza kwa kuongeza fuse na isolator hapo hapo. Isolator ya kwanza kati ya hizi zinazoongezwa itatupa umeme kwenye starter box ya kusukwa ambayo itahodhi starter tatu za kusukwa kwa pamoja katika box moja.
Namananisha usinunue starter nunua vifaa vyake Contactor, overload etc visukwe kwenye hiyo box kama pea tatu.

Kwa kufanya hivyo kila starter box kubwa moja itakuwa na starter motor 3 ndani yake kuwasha mashine tatu. Hivyo utakuwa na panel mbili za kuwasha mota sita.

Baada ya hapo fundi atachukua waya Armoured Cable Millimetres hata 17 kutoka katika Isolator kuleta katika Starter box moja, hakikisha fundi aweke Isolator nyingine ndani ya Starter box ipokee umeme.

Mota zilizopo mbali na hilo li starter box utatumia push buttons kuwasha kuipeleka mpaka karibu na ukuta wa mota husika ila starter yake itakuwa ndani kati ya haya maboksi starter mawili.

Faida ya huu mfumo ni:
Utadumu na starter "kupiga" Contactors maana utachagua Aina nzuri za contactors tofauti na kununua ya Mchina ndani zinakuwa sio nzuri, lifespan fupi kila uchao matengenezo ni gharama.

Utaounguza gharama ya mastata kibao hada Armoured Cable ambazo ni gharama we mwenyewe unajua.

Utakuwa na uhakika na mfumo wako kwa maana ya ubora wa vitu na usalama wake hapo ndani kwako.

Utapunguza ghara ya waya Armoured Cable maana stata zitakuwa pamoja na utawasha kaa push buttons ambazo zina waya wa bei rahisi.

Kama sijaeleweka utauliza bosi.
Nikitulia nitasoma vizuri maelekezo yangu na iwapo sijaelewa pahala nitauliza mkuu wangu
 
Mkuu hesabu za umeme hazipigwi hivyo. Umeme sio mandazi kwamba tupo wanne tununue manne.😁

Nirudi kwenye mada. Kwanza wanaokwambia unahitaji Transformer ni waongo, unaweza kukuta kijiji kina Tranformer moja kina Mashine za kusaga 10 hapo hapo kijijini.

Kwa kukusaidia tuu ili kupunguza gharama na kukutoa hofu na jambo lako, mwite fundi mzuri itategemea na main switch yako ni aina gani lakini best ni Tronic au Havels naamini Circuit Breaker hapo ni Amp 100 na Cut out zako hapo nje naamini zitakuwa Amp 100 na waya wake unaopokea umeme kutoka kwenye main line kuleta kwenye main switch uwe ni mm 25 kuendelea usipungue kama wamekuwekea mdogo basi utaubadiri maana unakwenda kutanua matumizi ya umeme hapo kwako.

Baada ya hapo nunua Isolator tatu za Amp 100. Fundi atoe Fuse baadhi zisizotumika azipange isolator hizo tatu aache fuse za kusambaza umeme wa taa na matumizi mengine kwenye panel/main switch yako.

Asiguse ule mfumo ambao tayari upo kwenye mashine hizo zinazofanya kazi yeye atengeneze mfumo mwingine kukidhi hizi mashine unazotaka kuongeza kwa kuongeza fuse na isolator hapo hapo. Isolator ya kwanza kati ya hizi zinazoongezwa itatupa umeme kwenye starter box ya kusukwa ambayo itahodhi starter tatu za kusukwa kwa pamoja katika box moja.
Namananisha usinunue starter nunua vifaa vyake Contactor, overload etc visukwe kwenye hiyo box kama pea tatu.

Kwa kufanya hivyo kila starter box kubwa moja itakuwa na starter motor 3 ndani yake kuwasha mashine tatu. Hivyo utakuwa na panel mbili za kuwasha mota sita.

Baada ya hapo fundi atachukua waya Armoured Cable Millimetres hata 17 kutoka katika Isolator kuleta katika Starter box moja, hakikisha fundi aweke Isolator nyingine ndani ya Starter box ipokee umeme.

Mota zilizopo mbali na hilo li starter box utatumia push buttons kuwasha kuipeleka mpaka karibu na ukuta wa mota husika ila starter yake itakuwa ndani kati ya haya maboksi starter mawili.

Faida ya huu mfumo ni:
Utadumu na starter "kupiga" Contactors maana utachagua Aina nzuri za contactors tofauti na kununua ya Mchina ndani zinakuwa sio nzuri, lifespan fupi kila uchao matengenezo ni gharama.

Utaounguza gharama ya mastata kibao hada Armoured Cable ambazo ni gharama we mwenyewe unajua.

Utakuwa na uhakika na mfumo wako kwa maana ya ubora wa vitu na usalama wake hapo ndani kwako.

Utapunguza ghara ya waya Armoured Cable maana stata zitakuwa pamoja na utawasha kaa push buttons ambazo zina waya wa bei rahisi.

Kama sijaeleweka utauliza bosi.
Imeelezwa vizuri kitaalamu.
Akupe kazi tu.
Umenikumbusha mbali enzi hizo nasuka Starter za Automatic Star Delta Starter za 3-Phase Motors.
 
You need to do some calculations otherwise you'll have some repercussions for this.


TANESCO ABC bundled conductors (400/230V) LV lines comprises of these:

16sq.mm (Airdac service line cable)
25sq.mm
50sq.mm
95sq.mm


(16, 25 and possibly 50) maranyingi ni kwenye residential houses au REA vijinini ambako wanafungiwa 50kVA which does accommodate up to 20 customers including one three phase machine.

95sq.mm is mostly utilized in town areas and it can carry up to 290A maximum.

For 400v three phase loads that's a maximum of 116kW allowed for a simultaneous operation on 95 ABC conductors!!!

These numbers are even exaggerated. Could be below that.

That's a single case
------------------

A normal residential three phase meter supporting 116kW simultaneous load? TAHT'S A NOO!! Even if you do thousands of main switches, breakers or isolators..

Yea, bro really wants to soak in 0.16 MEGAWATTS at once via tronic main switches. 💀
____________

If you plan for a shift operation, it's okay and not simultaneous. Otherwise I'm missing something aah!

Contrary to the above... 100kVA transformer is unavoidable. They hook it up on 33kV and you step-down to 0.4kV...there you go.

When they say hire a licensed contractor they want to exempt you from TANESCO penalty once you burst those cables and smoke a meter.
 
unanatarajia kuongeza mashine za ukubwa gani ?
umesema 22kW, je kwa zote 3 ? 66kW ?
kama ndiyo tanesco watakuuzia transformer
hongera kwa kua na kiwanda
Sure lazima wamuuzie Transformer hapo...
 
Back
Top Bottom