Nahitaji kujua zaidi kuhusu kisiwa cha Mayotte

Sio Mayotte tu hata US na british wana teritories kwenye mabara mengine british wana teritories kama 14 hivi na US ana kama 5 hivi
 
Kwani kuandika kiswahili huwezi? Aaah....
 
Kwani kuandika kiswahili huwezi? Aaah....
Kwani kusoma kiinglishi haujui, ebooooh!!!

Wote tulipelekwa shule na serekali yetu ya Sisiemu.

Kidumu chama. Kila mtu asome anachojua kusoma au ale kwa urefu wa kamba yake😎
 
Sio Mayotte tu hata US na british wana teritories kwenye mabara mengine british wana teritories kama 14 hivi na US ana kama 5 hivi
Ikiwa Mayotte ni teritori maskini ya mwisho kwa teritoriiz zote za Ufaransa,, lakini ni tajiri ikilinganishwa na nchi za Afrika mashariki. Shida ni gani hapo? Watawala au watawaliwa? Nahisi ni watawala.... Ikiwa Mayotte wangejitawala wangekuwa sawa na Kenya na Tanzania. Eboooooh.

Mnaonaje na sisi tutafute wa kutufanya teritoriiz zake. Nampendekeza Trump.
 
Hapa anaweza kupata majibu sahihi zaidi ikiwemo na experience ya waliowahi kwenda huko...

Na ndio kazi ya mitandao ya kijamii kama jf, uliza chochote kinachokupa utata.
 
Ni miliki ya ufaransa, kuingia kisiwa cha mayyote kama hujakamilisha documents ni kazi sana. Wazamiaji wanaingia na boti ila kuna doria kali sana
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kaka mbona unapanga matokeo tayari eti unamtaka trump kuna wengie pro Russia watakwambia wanamtaka Putin

By the wat umaskini wa mayotte hausababishwi na Ufaransa (watawala) sababu mayotte waliamua kubaki coloni la ufaransa.. ila wana wanajiongoza kwa asilimia 70% na wana uhuru wa kujitoa mda wowote

Kiasili Mayotte ni kama commoro na wao na commoro kiasili ni kama watu wa mombasa na zanzibar sehemu hizo
Zina muingiliano wa kiasili ndo maaana hata commoro wana kiswahili
Chao ambacho kina mchanfanyiko wa lugha yao ya asili ila tamaduni nyingi zinafanana na wapemba.

So ukitaka kujua kwa nini mayotte ni maskini jiulize kwa nini zanzibar na sie bara maskini.. na tuna miaka zaid ya 50

Tena usiseme kuwa sie tuna afadhali maana umaskini ni umaskini na uwiano wa maendeleo na miaka toka uhuru haulingani
 
Hapa anaweza kupata majibu sahihi zaidi ikiwemo na experience ya waliowahi kwenda huko...

Na ndio kazi ya mitandao ya kijamii kama jf, uliza chochote kinachokupa utata.

Population, size, kwanini wapo under France yote yanapatikana kwa one click tu online. Huhitaji mtu aliyeenda huko kukupa hizo info. Kama anataka experience za watu waliofika huko angesema bayana kwenye bandiko lake. Sihitaji kufika TZ kujua TZ Ipo wapi, size na population yake. Na ilipata uhuru toka kwa nani. Wabongo wengi tu hawajui ukubwa na population ya TZ. However naelewa wabongo wanavyopenda utegemezi hili ni swala la kitamaduni na ujamaa. Tunaona wanaotaka connection kwenda nje wakitaka kila kitu uwafanyie ili aseme umempa msaada anything short anasema diaspora hawatoi connection.
 
Na huko ndio ukweli wenyewe. Watu kutoka West Africa hupitia kisiwabi hapo ili kuzamia Ufaransa. Ukifika Mayotte ni imefika Ufaransa
 
Kwani kuandika kiswahili huwezi? Aaah....

Hiyo ni copy&paste ya Wikipedia ndo maana nawaambia wamatumbi acheni uvivu nendeni Wikipedia wenyewe mkajisomee imetafsiriwa kwa lugha zaidi ya 100. Kuna sites zingine as well. Tatizo lenu uvivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…