Nahitaji kupungua uzito

Nahitaji kupungua uzito

LadyJanja

Senior Member
Joined
Nov 28, 2015
Posts
101
Reaction score
48
Yani nina 92kg nataka kupunguza uzito wa mwili at least nifike 80 if not 75 nataka mnishauri diet nzuri itakayo nisaidia nafanya mazoezi kidogo though sitaki dawa za kunywa ili nipungue uzito no.

Nataka ushauri wa diet tuu my meal arrangement basi.

(pls nipo serious maana kuna wengine wanapenda kutoa wenzao off mood kwa comments zisizo na maana)
 
We ni ke au me?
Unafanya kazi gani?
Uwezo wako kiuchumi ukoje?

Majibu yako yatasaidia sana namna ya kukushauri
 
Kwenye kupunguza uzito diet inachangia kwa 20%. 80% ni mazoezi tu. So kama unataka results nzuri piga zoezi. Diet pekee haitoshi. Na umri unavyoenda ndio inakua kazi kupunguza kilo kwa hiyo piga zoezi kwa sanaa!
 
Lillian Masha ie lilymashy... mi napenda vibonge..(joke!)
Nafanya subscription ya uzi wako ili nisome, nami nipate kushusha hizi kilo.
 
Last edited by a moderator:
Unataka kuwa portable au kimbabau??
...baki hivo hivo bhana Lily hata usipungue bhana.😛
 
Unataka kuwa portable au kimbabau??
...baki hivo hivo bhana Lily hata usipungue bhana.😛

Ahhaahaha nimekua mzito buanaaaa...ntashindwa kukimbia magufuli akija kwetu buaaanaaa 😂😂
 
Nina ratiba ambayo inaweza kukusaidia kufanya hayo unayoyakusudia, hii ni kwaajiri ya dieting tu! Pia naweza kukupa maelekezo juu ya mazoezi yapi ya kufanya na yapi ya kupunguza kwa haraka zaidi, lkn yote yanahitaji kujitoa na uvumilivu! Ni pm tuongee biashara
 
Nina ratiba ambayo inaweza kukusaidia kufanya hayo unayoyakusudia, hii ni kwaajiri ya dieting tu! Pia naweza kukupa maelekezo juu ya mazoezi yapi ya kufanya na yapi ya kupunguza kwa haraka zaidi, lkn yote yanahitaji kujitoa na uvumilivu! Ni pm tuongee biashara

Thank u
 
Ahhaahaha nimekua mzito buanaaaa...ntashindwa kukimbia magufuli akija kwetu buaaanaaa 😂😂

Km umekua mzito c unasema tu me niongeze nguvu niendelee kukubeba sawa sawa!

Btw, All the best, utawapata wataalamu hapa hapa watakuelekeza nin cha kufanya.
...acha me nipite, ila usisahau pm ya kuntakia usiku mwema.😀
 
Mmh! Watu wa foreva sasa hv watajaa hapa,
Punguza kilo kumi kwa siku saba, hahahaha! Utajuta huko PM
 
Kama upo serikalini usijisumbue na diet kitaisha chenyewe.am joking!
 
Mmh haya bana

Ufafanuzi:-

Anaishi wapi: Mkuu diet zingine zinategemea maeneo mtu anayoishi, ila kwa mtu ambaye yuko Dar almost vyakula vyote vinapatikana ni hela yako tu.

Single/Married: Unaweza kupewa diet ambayo hupiki, hivyo kama umeolewa unaleta tabu kwa mwenza wako kwa sababu wewe ukishashiba unakuwa na uvivu wa kumwandalia mwenzio chakula au unaandaa chakula ambacho ni substandard!

Nadhani hapo nimejitahidi kujieleza.
 
Mmh! Watu wa foreva sasa hv watajaa hapa,
Punguza kilo kumi kwa siku saba, hahahaha! Utajuta huko PM

Yan nilishaanza kuwaona hapa wananiuliza habari za kama nipo vizuri kiuchumi niwapm...yan staki hata kuisikia hyo foreva living wala clean9..nataka diet tuu ya chakula asili and i know naweza kupungua kwa njia hyo..sina haraka sana ya kuloose weight
 
Back
Top Bottom