LadyJanja
Senior Member
- Nov 28, 2015
- 101
- 48
Yani nina 92kg nataka kupunguza uzito wa mwili at least nifike 80 if not 75 nataka mnishauri diet nzuri itakayo nisaidia nafanya mazoezi kidogo though sitaki dawa za kunywa ili nipungue uzito no.
Nataka ushauri wa diet tuu my meal arrangement basi.
(pls nipo serious maana kuna wengine wanapenda kutoa wenzao off mood kwa comments zisizo na maana)
Nataka ushauri wa diet tuu my meal arrangement basi.
(pls nipo serious maana kuna wengine wanapenda kutoa wenzao off mood kwa comments zisizo na maana)