Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Naombeni kujua njia rahisi au kufahamu magari ya kusafirisha mizigo kwenda Tanga wapi yanapaki kwa Dar na gharama sh. ngapi wakuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukurani mkuu sina mzigo wa kujaza hata robo ya roli inakuaje sasaNENDA PALE MACHINGA COMPLEX MBELE KIDOGO KAMA UNAELEKEA VETA MKONO ULE ULE ULIZIA MAENEO YALE KUNA MAROLI YA KUSAFIRISHA MIZIGO KWENDA MIKOANI
... Huwa wanaunganisha na mizigo ya watu wengine mpaka gari inakuwa fullShukurani mkuu sina mzigo wa kujaza hata robo ya roli inakuaje sasa
Safirisha kwa njia ya basi, kodi townace sijui nitakuwa nimepatia vipakie hadi shekilango au mbezi luis utapata mabasi kibao yanafanya hizo mamboNaombeni kujua njia rahisi au kufahamu magari ya kusafirisha mizigo kwenda Tanga wapi yanapaki kwa Dar na gharama sh. ngapi wakuu.
Bei zao zikojeNenda pale Jangwani yanapopaki malori ulizia Ngamiani transporter wakakusafirishia mizigo yako yote.
Kuna vitu kama masofa kabati dressing table show case kwa bus naona mtihani kidogoSafirisha kwa njia ya basi, kodi townace sijui nitakuwa nimepatia vipakie hadi shekilango au mbezi luis utapata mabasi kibao yanafanya hizo mambo
200000Una shingap mimi nikusafirishie kwa townace had tanga
300,000 nitume dereva, mafuta kwenda na kurud tangu bei juu200000
kwenye basi kila kitu kinaenda. Kama hapo haiwezekani kodi gari la mizigo kama wadau walivyokwambia hapo juuKuna vitu kama masofa kabati dressing table show case kwa bus naona mtihani kidogo
Nenda kawaone na uwaambie vitu vyako wakupe bei na endapo kama huna pesa unaweza safirishiwa vitu vyako bure kikubwa ni maelewano tu.Bei zao zikoje
Mcheki bwana mmoja kule twitter anaitwa bajabiri ..ana kampuni yake inaitww bajabiri logistics..anadili na hizo inshu..ila itabidi upige picha hivyo vitu ili ajue gharama.Naombeni kujua njia rahisi au kufahamu magari ya kusafirisha mizigo kwenda Tanga wapi yanapaki kwa Dar na gharama sh. ngapi wakuu.
Karibu tanga mkuu [emoji120]..Naombeni kujua njia rahisi au kufahamu magari ya kusafirisha mizigo kwenda Tanga wapi yanapaki kwa Dar na gharama sh. ngapi wakuu.