Msaga_sumu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2022
- 289
- 291
Nahitaji present research yangu katika kampuni flani hapa Tanzania mainly nahitaji gusia maswala ya microfinance kama hizi mikopo ya simu, kausha damu, mikopo ya mitandaoni nk.
Naomba mawazo yenu, changamoto, faida nk gusia chochote kuhusu mada nahitaji andaa kitu bora.
Asanteni Wasomi tunahitaji tatua changamoto mtaani sio kulaza elimu zetu.
Wataalamu wa maswala ya uchumi na biashara msiniangushe hii yenu pia.
Naomba mawazo yenu, changamoto, faida nk gusia chochote kuhusu mada nahitaji andaa kitu bora.
Asanteni Wasomi tunahitaji tatua changamoto mtaani sio kulaza elimu zetu.
Wataalamu wa maswala ya uchumi na biashara msiniangushe hii yenu pia.