Nahitaji mawazo yenu wakuu

Nahitaji mawazo yenu wakuu

Oa respect your self ndugu yangu kama una issue yakuchangia ukimya nao ni muhimu hujatagiwa hapa sasa unaweza anzisha uzi wako afu ukatuita wajinga but ungekua na akili ungejibu kwanza maswala yako maccm sijui machadema sijui majitu gani hayahusiki hapa fanya mishe zako choko wewe.
Akili huna ww..huwez kuita taasis za watu waliozipambania kwa jasho kausha damu, na majina mengine ya hovyo.. uanze kujiheshimu wewe kwanza, kabla hujaandika ujinga wako!
 
Kuna kitu kinaitwa Finiancial education au Financia literacy, shida iko hapo hakuna kitu kingine.

Watanzania asilimia kubwa sana hawana hii elimu ya kifedha, hata wanao jiita wasomi pia hawana kabisa hii elimu.

Wenzetu, Wazungu na hata watu wa Asia hii elimu wanaaza fundishwa kuanzia Chekechea sasa Africa na hata Tanzania hii elimu haipo kabisa kokote kule.

Watu wangekuwa na hii elimu usingesikia aina hizo za mikopo, hata mikopo mingi ya Benki usiingeisikia.
Sawa mkuu labda niliwaza tofauti kidogo nielekeze unaongelea financial services microfinance ni kama sehemu ya financial service, kwa upande wangu naona moja ya changamoto ya kazi kuangumu ni raia kukosa elimu na mikopo hii, na haswa wale wenye maisha ya chini na ndio maana hata wao huchukua mikopo, nasioni kama mikopo inamadhara hasi kiasi hiko, ila tu masharti ya mikopo hio ndio penyewe.
 
Akili huna ww..huwez kuita taasis za watu waliozipambania kwa jasho kausha damu, na majina mengine ya hovyo.. uanze kujiheshimu wewe kwanza, kabla hujaandika ujinga wako!
Mkuu kama elimu yako haitoshi kuchangia mada ni vema ukakaa kimya, kaa kwa kutulia wenye nondo wakimaliza utaitwa sasa uchangie 😂 sasa hata kausha damu huwajui unaongea nini kaa kimya hujui chochote tuko sehemu elimu inahitajika kuliko ujinga we kwaakili yako hujaona mikopo ya mitandaoni, umeona kausha damu siku nyingine usijishtukie na kulialia tunapotoa mada changia huwezi pita kando, nadhani utakua team leader mitaa 😂
 
Ngoja nishibe kwanza , ntachangie baadae.
Nishashiba sasa nimerudi.

Microfinance bhana Zina changamoto nyingi kwa wakopaji. Wakopeshaji wanazo lakini sio sanaa kama wakopeshawaji.

Faida zipo kwa wote wawili yapo mmoja anafaidika zaidi kuliko mwengine.

Mmm nachangia kwenye hasara tu za Microfinance.
1. Kumfilisi mkopaji.
Mikopo hasa hii ya kausha damu humfilisi mkopaji kwa Ile riba. Riba inakuwa kubwa kuliko kiasi ulichokopa , unaweza kukuta unatoa faida sawa na Kiasi ulichopewa.
Mfano: unaweza kukopeshwa elfu 50, katika 50 hiyo hiyo wakakukata 15 ya fomu na vitu vingine, kwahy hapo wanakupa 35 yapo wao wanakupa 50 lakini kimahesabu uliwapa 15 Yako kwahy inakuwa wamekupa 35, kwahy badala ya kupanda juu unashuka kwakua faida Yako wanaibeba wao.

Marejesho Kila siku 2000 kwa siku 30 ni elfu 60, kwahy umepewa 35 unarudisha 60 , riba ni kubwa.

2. Inaharibu mahusiano.
Unakuta mke kakopa mume hajui, kashindwa Kulipa wamekuja kubeba vitu ugomvi unaibuka na kuvunja mahusiano.

3. Maisha kuwa magumu.
Mtu kakopa aongezee mtaji lakini riba kubwa marejesho yamemshinda wanakuja kusomba vitu , unaanza tena upya , mtaji huna na vitu huna maisha yanazidi kuwa magumu.

4. Watu kuhama miji.
Mtu akishindwa kulipa anaukimbia mji wake, anaona Bora aondoke akakae hata kwa shangazi ili tu adichukuliwe sheria kwa kushindwa kulipa mkopo wake.

5. Kuongezeka kwa watoto wa mitaani.
Mahusiano yakishaharibika, watu wakianza upya, miji ikihamwa na watu kinachofata watoto watazagaa kwa kukosa wa kuwalea au mahitaji ya shuleni , hivyo watoto wa mitaani wataongezeka.

6. Kuporomoka kwa maadili.
Watoto wa mitaani wakishajazana basi na maadili yanaporomoka kwa kuwa watoto hujilea wenyewe Hawana waangalizi wa kuwaelekeza mazuri na mabaya.
 
Nishashiba sasa nimerudi.

Microfinance bhana Zina changamoto nyingi kwa wakopaji. Wakopeshaji wanazo lakini sio sanaa kama wakopeshawaji.

Faida zipo kwa wote wawili yapo mmoja anafaidika zaidi kuliko mwengine.

Mmm nachangia kwenye hasara tu za Microfinance.
1. Kumfilisi mkopaji.
Mikopo hasa hii ya kausha damu humfilisi mkopaji kwa Ile riba. Riba inakuwa kubwa kuliko kiasi ulichokopa , unaweza kukuta unatoa faida sawa na Kiasi ulichopewa.
Mfano: unaweza kukopeshwa elfu 50, katika 50 hiyo hiyo wakakukata 15 ya fomu na vitu vingine, kwahy hapo wanakupa 35 yapo wao wanakupa 50 lakini kimahesabu uliwapa 15 Yako kwahy inakuwa wamekupa 35, kwahy badala ya kupanda juu unashuka kwakua faida Yako wanaibeba wao.

Marejesho Kila siku 2000 kwa siku 30 ni elfu 60, kwahy umepewa 35 unarudisha 60 , riba ni kubwa.

2. Inaharibu mahusiano.
Unakuta mke kakopa mume hajui, kashindwa Kulipa wamekuja kubeba vitu ugomvi unaibuka na kuvunja mahusiano.

3. Maisha kuwa magumu.
Mtu kakopa aongezee mtaji lakini riba kubwa marejesho yamemshinda wanakuja kusomba vitu , unaanza tena upya , mtaji huna na vitu huna maisha yanazidi kuwa magumu.

4. Watu kuhama miji.
Mtu akishindwa kulipa anaukimbia mji wake, anaona Bora aondoke akakae hata kwa shangazi ili tu adichukuliwe sheria kwa kushindwa kulipa mkopo wake.

5. Kuongezeka kwa watoto wa mitaani.
Mahusiano yakishaharibika, watu wakianza upya, miji ikihamwa na watu kinachofata watoto watazagaa kwa kukosa wa kuwalea au mahitaji ya shuleni , hivyo watoto wa mitaani wataongezeka.

6. Kuporomoka kwa maadili.
Watoto wa mitaani wakishajazana basi na maadili yanaporomoka kwa kuwa watoto hujilea wenyewe Hawana waangalizi wa kuwaelekeza mazuri na mabaya.
Hii imeshika vizuri mkuu naaona ugali umepiga haujapotea bure 😂 sawa mkuu itanisaidia kwa namna moja au nyingine kwenye kazi yangu. Inshallah nikifanikiwa ntarudi humu.
 
Hii imeshika vizuri mkuu naaona ugali umepiga haujapotea bure 😂 sawa mkuu itanisaidia kwa namna moja au nyingine kwenye kazi yangu. Inshallah nikifanikiwa ntarudi humu.
Ulete na mgao 😂 nimeumiza kichwaa
 
Back
Top Bottom