Nahitaji mchumba humu.....members niozesheni

Nahitaji mchumba humu.....members niozesheni

itifaki inazingatiwa dada, nashukuru kunifahamisha shem ,me kaniuliza tu za humu zinakuaje nkamuelezea kumbe naye kashajipatia humuhumu ananizuga tu, i love jf
huyu nilimpata enzi zile za SLP suprise ,humu tukajistukia kumbe tupo wote.
we mmbbbayaa wewe unajifanya za humu huzijui kumbe ushajinyakulia tehetehe

humu ndo nataka kuangalia uwezekano wa small house kupitia electronics.
.ila i dont wish for that to happen I may hurt somebody's feeling.


shem asakuta kumbe muoga eeenh, chezea wabeijing wewe utajibeba ukivuruga humu

ha ha ha ha ha ha! muone kwanza ,yaani mkijaliwa hisia zenu mnaita uoga tena?
vp umeshapata njia ya kumtema yule Mr. soo innocent wako?
 
huyu nilimpata enzi zile za SLP suprise ,humu tukajistukia kumbe tupo wote.


humu ndo nataka kuangalia uwezekano wa small house kupitia electronics.


ha ha ha ha ha ha! muone kwanza ,yaani mkijaliwa hisia zenu mnaita uoga tena?
vp umeshapata njia ya kumtema yule Mr. soo innocent wako?

hahaha usije nigombanisha na sista evelysalt buree, nikupe mbinu za small house tena, cmooo
my innocent boy bado cjapata mbinu za kumwaga aisee namuoneaje huruma, najutaa kucheza na hisia zake
 
Wadada na wakaka wa humu ukioa tu hujue nyaraka zako zitapostiwa humuhumu na kupata shuluisho humuhumu....maisha yatakuwa murua.
Hakuna umbea wa saloon ni e.umbea (electronic umbea) tu humu.
Aaah wapi, hapa JF sio kwa kuoa kabisa.
We fikiri unapata wife hapa, halafu ni shoga yake lara 1, Madame B, e.t.c kuna mke sasa hapo?

Hawa mademu nliowataja na wenzao nishanusurika mara kadhaa kuchunwa nao, sina hamu kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Aaah wapi, hapa JF sio kwa kuoa kabisa.
We fikiri unapata wife hapa, halafu ni shoga yake lara 1, Madame B, e.t.c kuna mke sasa hapo?

Hawa mademu nliowataja na wenzao nishanusurika mara kadhaa kuchunwa nao, sina hamu kabisa.

hahaha we kama umenusurika shukuru mbona unawazuia na wengine bana
 
Aaah wapi, hapa JF sio kwa kuoa kabisa.
We fikiri unapata wife hapa, halafu ni shoga yake lara 1, Madame B, e.t.c kuna mke sasa hapo?

Hawa mademu nliowataja na wenzao nishanusurika mara kadhaa kuchunwa nao, sina hamu kabisa.

Hahahaaaaaa! Shark nitake radhi! Mimi bonge la mke! Mabwana zangu wanafaidi sanaaaa! Japo inawacost bt let me tell you what you are missin!

1.Mambo yetu yalee, siyafanyi ilimradi but professionaly!
2. Napika vibaya mnooo! Cheff haoni ndani! ( The best way to win a man is through his stomach!!!)
3. Im entertaining, nabuni vitu vya kumburudisha 24/7 never predictable!
4. Im quick n smart! Hata uniweke wapi nafiti tu!!!
5.I pray a lot!
6.I dont follow rules or protocal! Nafanya nachojisikia! Kwa hiyo we wont be like other bored couples!

Smthn expensive is somethin nice! Itakucost ila Utafaidi!
 
Hahahaaaaaa! Shark nitake radhi! Mimi bonge la mke! Mabwana zangu wanafaidi sanaaaa! Japo inawacost bt let me tell you what you are missin!

1.Mambo yetu yalee, siyafanyi ilimradi but professionaly!
2. Napika vibaya mnooo! Cheff haoni ndani! ( The best way to win a man is through his stomach!!!)
3. Im entertaining, nabuni vitu vya kumburudisha 24/7 never predictable!
4. Im quick n smart! Hata uniweke wapi nafiti tu!!!
5.I pray a lot!
6.I dont follow rules or protocal! Nafanya nachojisikia! Kwa hiyo we wont be like other bored couples!

Smthn expensive is somethin nice! Itakucost ila Utafaidi!

lol! Damn hot!
 
itifaki inazingatiwa dada, nashukuru kunifahamisha shem ,me kaniuliza tu za humu zinakuaje nkamuelezea kumbe naye kashajipatia humuhumu ananizuga tu, i love jf

Hhaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Kulikoni....

Nimefurahi Mpambano unaendelea Open Ground!!!!!! Watoto wabaya sana wewe na Surprise! Nachokitaka Mama yenu na nyinyi pia mwakitaka hicho hicho!!!!!! Ofcourse namuongelea (---------) Ndo nacheka TUTABANANA HAPO HAPO!!!!!!(Japo mimi shabiki wa mkopo tu! Just curious to see the inner package! Baaaaaaaaass!)

Hapo anabadili tu kama nguo!!!! Kila mtu na mda wake!

Au tuanzishe shindano letu la kizushi la WINNING --------- HEART! Mshindi anapata Dinner date na ---------! Guaranteed! (I can make that happen! --------- will surely show up in that dinner)

Na watu walivo mashabiki lazima wafatilie kwa ukaribuuuuu!

Karata zote mezani, everybody shows what they got! Linakuwa kule Love Connect! JF is never boring!
 
Last edited by a moderator:
He he he he shindano kwa baby wangu !!!aaah wapi sitaki mie, na nipo makini hadi sasa sijalala nasubiri alog out sema tu sijamuambia kama ananichelewesha mie kulala....cheze utamu wa vanila!!!
 
He he he he shindano kwa baby wangu !!!aaah wapi sitaki mie, na nipo makini hadi sasa sijalala nasubiri alog out sema tu sijamuambia kama ananichelewesha mie kulala....cheze utamu wa vanila!!!

Kumbe mateja mpo wengi eeh??!
 
He he he he shindano kwa baby wangu !!!aaah wapi sitaki mie, na nipo makini hadi sasa sijalala nasubiri alog out sema tu sijamuambia kama ananichelewesha mie kulala....cheze utamu wa vanila!!!

Ile ni mali ya Uma!!!!!!! Kujibinafsishia hakutakiwi! Ujamaa wako uko wapi!

He is too good to be owned by 1 woman!!!!!!!!! ITS JST NOT FAIR!!!!!!!
 
Namaanisha mateja wa mapenzi jameni!
Heheh . . .

Hahahaaaaaa! Hapo sawa manake huku kuna mchakato usio rasmi! Watu wote tumeamua kubanana hapo hapo!!!!! Hamna anaekata tamaa!
 
Back
Top Bottom