Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
Atakuwa mzabzab tu huyo...mzee wa mgegedo kielectronic
me cmo, mzabzab na uje ujibu hizi tuhuma, kwanza vip ushampata cute junior
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa mzabzab tu huyo...mzee wa mgegedo kielectronic
huyu nilimpata enzi zile za SLP suprise ,humu tukajistukia kumbe tupo wote.itifaki inazingatiwa dada, nashukuru kunifahamisha shem ,me kaniuliza tu za humu zinakuaje nkamuelezea kumbe naye kashajipatia humuhumu ananizuga tu, i love jf
we mmbbbayaa wewe unajifanya za humu huzijui kumbe ushajinyakulia tehetehe
.ila i dont wish for that to happen I may hurt somebody's feeling.
shem asakuta kumbe muoga eeenh, chezea wabeijing wewe utajibeba ukivuruga humu
huyu nilimpata enzi zile za SLP suprise ,humu tukajistukia kumbe tupo wote.
humu ndo nataka kuangalia uwezekano wa small house kupitia electronics.
ha ha ha ha ha ha! muone kwanza ,yaani mkijaliwa hisia zenu mnaita uoga tena?
vp umeshapata njia ya kumtema yule Mr. soo innocent wako?
lol! umetokea wapi tena kwenye hii thread Bibie? calmn down baby mwache Suprise anipe somo
Aaah wapi, hapa JF sio kwa kuoa kabisa.Wadada na wakaka wa humu ukioa tu hujue nyaraka zako zitapostiwa humuhumu na kupata shuluisho humuhumu....maisha yatakuwa murua.
Hakuna umbea wa saloon ni e.umbea (electronic umbea) tu humu.
Hahahaaaaaa! Shark nitake radhi! Mimi bonge la mke! Mabwana zangu wanafaidi sanaaaa! Japo inawacost bt let me tell you what you are missin!
1.Mambo yetu yalee, siyafanyi ilimradi but professionaly!
2. Napika vibaya mnooo! Cheff haoni ndani! ( The best way to win a man is through his stomach!!!)
3. Im entertaining, nabuni vitu vya kumburudisha 24/7 never predictable!
4. Im quick n smart! Hata uniweke wapi nafiti tu!!!
5.I pray a lot!
6.I dont follow rules or protocal! Nafanya nachojisikia! Kwa hiyo we wont be like other bored couples!
Smthn expensive is somethin nice! Itakucost ila Utafaidi!
Nimekaa tu pembeni bby, nlikuwa nasubiri "hebu njoo pm" ningefika kabla hata we hujafika...
itifaki inazingatiwa dada, nashukuru kunifahamisha shem ,me kaniuliza tu za humu zinakuaje nkamuelezea kumbe naye kashajipatia humuhumu ananizuga tu, i love jf
Hhaaaaaaaaaaaaaaaaa!
ivi wewe ni mtu au?? na kama ni mtu ni wa jinsia gani???? funguka!!!!Sio utani.....kama upo serious karibu
Kulikoni....
He he he he shindano kwa baby wangu !!!aaah wapi sitaki mie, na nipo makini hadi sasa sijalala nasubiri alog out sema tu sijamuambia kama ananichelewesha mie kulala....cheze utamu wa vanila!!!
Kumbe mateja mpo wengi eeh??!
He he he he shindano kwa baby wangu !!!aaah wapi sitaki mie, na nipo makini hadi sasa sijalala nasubiri alog out sema tu sijamuambia kama ananichelewesha mie kulala....cheze utamu wa vanila!!!
Mhhhhhhhh! Kivipi tena? Kwani na wewe ni ------------- mfuasi pia! Au?
Namaanisha mateja wa mapenzi jameni!
Heheh . . .