Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Kuna mtu alituma hapa picha yake mda huu nimeiona mods wamefuta tayari..

Duh

Zegota unamjua huyu na hiyo picha yake uliyotuma hapa umritoa wapi?
 
Usitudanganye wewe ni MFUPI bhana, why povu lote hilo
Nachukizwa na namna wanawake wanavyochagua spishi ambazo hawawezi kuziumba kwa namna ya unyanyapaa kuhusu umbile langu njoo pm Kama wewe ni mdada.
 
Dah! Nasikitika kuona hili tangazo leo bila shaka nimechelewa kujichukulia jiko hapa.
 
Sie tusio na vigezo tuendeleeni kusoma tu comment huenda na sie akina dada wakatufikiria wenye cv ndogo
 
Ila dada ungeweka na picha yako na sisi waowaji tujue kama yaliomo yamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…