Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
Hapo kwenye kuwa singo mtadanganyana tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna mtu aliye singo kwa maana hana mtu labda kama singo artist
 
Hivi ulipata ?
manake na Mimi natafuta mzee mwenzangu tumalizie hizi Siku zilizobaki
Kama uko serious na makini tafuta dear, kuna walio serious humu pia.

Mimi soon ntatoa mrejesho.
 
Ukipata mwanaume humu halafu yakaja kukutokea ya "Shilole" usije kufungua uzi kulalamika humu.
Ahsante, ila hayo ya shilole yanaweza kutokea popote tu, au unamaanisha shilole alimpata huku huyo mumewe?
 
Mtaani ,kazini kwako hayupo mwenye sifa? Je kanisani,sokoni na kwenye mikusanyiko unayohudhuria hujamuona tu?
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
 
Mtaani ,kazini kwako hayupo mwenye sifa? Je kanisani,sokoni na kwenye mikusanyiko unayohudhuria hujamuona tu?
Ahsante kwa ushauri, ila naamini popote tu unaweza kumpata, nimeongeza wigo tu.
 
Miaka 28 na huna mtt je ni bikra? Kama siyo bikra ni lazma kwanza utuweke waz umetoa mimba ngapi?
Baada ya hapo unatakiwa upunguze kuwekea mashart wanaume wakat jua linaenda kuzama
 
Miaka 28 na huna mtt je ni bikra? Kama siyo bikra ni lazma kwanza utuweke waz umetoa mimba ngapi?
Baada ya hapo unatakiwa upunguze kuwekea mashart wanaume wakat jua linaenda kuzama
Ahsante kwa ushauri, ubarikiwe
 
Back
Top Bottom