Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
ushatest eeh?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushatest eeh?!
Hahahaa hamna, mm nimechungulia tuu nione kama n yy sio bazaz [emoji28][emoji28]ushatest eeh?!
Nmesoma Mara NNE post yako .Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
😂😂😂😂😂hapa zile ID mmelog out chap chap
mmelog in na zile za kibazaz
Wewe andunje urefu ni kama makalio tu.Ndio maana mnakosa wanaume vigezo kibao sasa urefu una husiana na nini na ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umri wa kuolewa ni miaka mingapi?Iv mpaka miaka 28 msichana ujaolewa ulikua unafanya nin? alaf hakuna hunters wanaokuwinda hadi ujirahisishe mtandaon? au ndo akina Miss Buza!!
Very beautifulTall creatures are beautiful.
Nunua gari weka tinted uwe unajifungia humoChief Sam,mm nashindwa kuelewa kwann wanawake wanapenda wanaume warefu,mfano,mm Nina futi 7.2,ninapovaa nikapendeza,huwa naona wanawake wengi wakiniangalia sana,kwa kweli najihisi kutokujiamini napokuwa natembea njiani.
Tupoo bana!![emoji137]jf Hamna mwanaume Single..
Tazama vizuri avatar yangu natumia pic yangu harisiWewe andunje urefu ni kama makalio tu.
ME kalio
KE urefu
Umenipata!! Chap njoo nichukue.Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
[emoji3]Dah! Kama nitakukosa na wewe basi huu mwaka ndiyo utapita hivi hivi kwa mara nyingine! Come pm baby, am your future Hubby! Vigezo vyote ninavyo.
Tupe mrejesho umepata mchumba?[emoji3]
Soon ntatoa mrejesho.Tupe mrejesho umepata mchumba?