pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakujibu ukiniambia mata.ko yana matumizi gani kwenye maisha ya ndoaNiambie urefu una matumizi gani kwenye maisha ya ndoa,? japo mimi si mfupi urefu wangu hauja wahi kulipa bills
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafupi tuwe na kikao kifupi,kuijadili hoja hii.Hivi kwanini sijawahi ona kwenye sifa anaetaka mwanaume mfupi?
Kuna raha mwanaume akivutia yaani hata akiwa mbali ukivuta picha yake ni kulowa tu..inasaidia kudumisha ndoa na kuondoa visirani.Niambie urefu una matumizi gani kwenye maisha ya ndoa,? japo mimi si mfupi urefu wangu hauja wahi kulipa bills
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama tako ni kigezo kwenye swala la kuoa kama lipo ni bonusNitakujibu ukiniambia mata.ko yana matumizi gani kwenye maisha ya ndoa
Huwa wanajioa wenyewe eeh?Iv mpaka miaka 28 msichana ujaolewa ulikua unafanya nin? alaf hakuna hunters wanaokuwinda hadi ujirahisishe mtandaon? au ndo akina Miss Buza!!
wa kaskazini haka katoto kana 20 -24yrs onlyHongera sana kama ndiyo wewe huyu...
Hata urefu pia ni bonusSidhani kama tako ni kigezo kwenye swala la kuoa kama lipo ni bonus
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu pm tuyajengeHello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Chief Sam,mm nashindwa kuelewa kwann wanawake wanapenda wanaume warefu,mfano,mm Nina futi 7.2,ninapovaa nikapendeza,huwa naona wanawake wengi wakiniangalia sana,kwa kweli najihisi kutokujiamini napokuwa natembea njiani.
. Kwa akil hizi biblia haikukosea kusema tuishi nao kwa akil😂😂😂Huwa wanajioa wenyewe eeh?
wewe toka umeanza mahusiano umeoa wangap na kuacha wangapi?
kutafuta mwenza kunahusiana vipi na kujirahisisha?
Go preach to your blood sisters.
alaf tuanzie hapa kwanin umetubadilishia ID?Huwa wanajioa wenyewe eeh?
wewe toka umeanza mahusiano umeoa wangap na kuacha wangapi?
kutafuta mwenza kunahusiana vipi na kujirahisisha?
Go preach to your blood sisters.
Kwa nini sasa ujihisi vibaya au unahisi anajiuza!Nikiona mtu (mwanamke) anaweka Uzi wa kutafuta Mwenza huwa najiskia vibaya Aisee i feel Sorry Sana.. Sijui kwanini [emoji3][emoji3][emoji3]
.
Mungu awe nawe Madame[emoji7]