Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Ni kwelijf Hamna mwanaume Single..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwelijf Hamna mwanaume Single..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hapa zile ID mmelog out chap chap
mmelog in na zile za kibazaz
unaharibu best.....hahahahahahaa......maisha mafupi sana.....jf Hamna mwanaume Single..
Hili nalo la msingi, hata wanaume linawahusuUshauri kwa mabinti mnaotafuta wenza, kwenye kigezo cha kusema huna mtoto au hujazaa; napendekeza muwe mnafafanua vizuri, iwapo ulishawahi toa na umetoa ngapi hizo mimba, au je zilikua zinagoma kunasa au ulikua muumini wa condom.
Povu la nini bwashe kama we mfupi pita hiviNdio maana mnakosa wanaume vigezo kibao sasa urefu una husiana na nini na ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah Aisee, We are too Expensive[emoji1]Wee bwana soko gumu yakhe
[emoji23][emoji23]ikifika muda wako usiweke bango wee njoo tu moja kwa moja PM.
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Niambie urefu una matumizi gani kwenye maisha ya ndoa,? japo mimi si mfupi urefu wangu hauja wahi kulipa billsPovu la nini bwashe kama we mfupi pita hivi
Yeah Aisee, We are too Expensive[emoji1]
ila shangaa kuna wadada wakisemeshwa wanavuta mdomo na hawana dalili za kuolewa hata [emoji38][emoji38]
😀Shangazi habari yako?Povu la nini bwashe kama we mfupi pita hivi