Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
aisee Mkuu BC utapata umpendae kwa wakat muafaka
Screenshot_2020-04-25-15-50-34.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa vigezo nimekidhi na Mimi hitajio langu kwako ni moja umesahau je una makalio ya ziada ya kutosha na hipsi la kutosha walau kama masogange kama ndio njoo inbox mwaka hauishi ndoa tayr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
Ukitaja mfupi uni pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri kwa mabinti mnaotafuta wenza, kwenye kigezo cha kusema huna mtoto au hujazaa; napendekeza muwe mnafafanua vizuri, iwapo ulishawahi toa na umetoa ngapi hizo mimba, au je zilikua zinagoma kunasa au ulikua muumini wa condom.
 
Ushauri kwa mabinti mnaotafuta wenza, kwenye kigezo cha kusema huna mtoto au hujazaa; napendekeza muwe mnafafanua vizuri, iwapo ulishawahi toa na umetoa ngapi hizo mimba, au je zilikua zinagoma kunasa au ulikua muumini wa condom.
Mkuu vp tena?! Mbona unafanya somo liwe gumu zaidi[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom