Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 3,338
- 6,327
nimemfata mtoto pm baadae tukutane kwenye "UZI PENDWA" kwa update zaidi mabaharia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimemfata mtoto pm baadae tukutane kwenye "UZI PENDWA" kwa update zaidi mabaharia
aisee Mkuu BC utapata umpendae kwa wakat muafakaHello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
nimemfata mtoto pm baadae tukutane kwenye "UZI PENDWA" kwa update zaidi mabaharia
You.
Umalaya wako umekosa mme mpaka umekuja kutafuta mtandaoni
Usikute ni mod Huyu japokua jf haina sehemu ya maritual status sasa sijui yeye kajuajeUsikute ni mod Huyu maana hata sehemu ya
Umejuaje Mkuu
Kama huyu anawezeje kukosa kuolewa sasa!Hongera sana kama ndiyo wewe huyu...
Ukitaja mfupi uni pmHello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Mkuu vp tena?! Mbona unafanya somo liwe gumu zaidi[emoji1787][emoji1787]Ushauri kwa mabinti mnaotafuta wenza, kwenye kigezo cha kusema huna mtoto au hujazaa; napendekeza muwe mnafafanua vizuri, iwapo ulishawahi toa na umetoa ngapi hizo mimba, au je zilikua zinagoma kunasa au ulikua muumini wa condom.
😂😂jf Hamna mwanaume Single..
Naunga mkono hoja afu nakazia.