Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
itakuwa either single kijeiefu,😂😂
Ukisikia ma kungwi ndo hawa!
Dada umebakiza Mimi tu ndo nimekosa kwenye list yako! Ndio pekee nipo single 😉
amani umeachika
or haujatimiza 30yrs.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itakuwa either single kijeiefu,😂😂
Ukisikia ma kungwi ndo hawa!
Dada umebakiza Mimi tu ndo nimekosa kwenye list yako! Ndio pekee nipo single 😉
Ha ha!itakuwa either single kijeiefu,
amani umeachika
or haujatimiza 30yrs.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa vigezo nimekidhi na Mimi hitajio langu kwako ni moja umesahau je una makalio ya ziada ya kutosha na hipsi la kutosha walau kama masogange kama ndio njoo inbox mwaka hauishi ndoa tayr.
Sent using Jamii Forums mobile app
kama kweli vile!!
Ina maana una chura mdogo mdogo?Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
alafu wewe kwenye maswala ya kutafuta wachumba wa kiume sio mgeni aiseee na sasa umekuja kivingine kabisa.Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
kumbe si mgeni kwenye hizi nyuzi humu ndani?![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]alafu wewe kwenye maswala ya kutafuta wachumba wa kiume sio mgeni aiseee na sasa umekuja kivingine kabisa.
mimi na wenzangu tulijitolea kukuchumbia ila ukatuchuja kisawa sawaaaa na ukaambulia patupu,kwa maana hiyo ile audition inaanza moja tena
Sent using Jamii Forums mobile app
ss hii screenshort inahusiana vp na huu uzi mkuu?,tuanzie hapo kwanzaaisee Mkuu BC utapata umpendae kwa wakat muafakaView attachment 1430133
Sent using Jamii Forums mobile app
Fipi wewe anae tiari?Hivo vigezo vingi mno loh anaweza kuja wa hicho kimo mkashindwana tabia, piamahusiano na wa mitandao huwa yanaishia pabaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
ikifika muda wako usiweke bango wee njoo tu moja kwa moja PM.Kila la kheri.
Wee bwana soko gumu yakheNikiona mtu (mwanamke) anaweka Uzi wa kutafuta Mwenza huwa najiskia vibaya Aisee i feel Sorry Sana.. Sijui kwanini [emoji3][emoji3][emoji3]
.
Mungu awe nawe Madame[emoji7]