Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

😂😂
Ukisikia ma kungwi ndo hawa!
Dada umebakiza Mimi tu ndo nimekosa kwenye list yako! Ndio pekee nipo single 😉
itakuwa either single kijeiefu,
amani umeachika
or haujatimiza 30yrs.
 
itakuwa either single kijeiefu,
amani umeachika
or haujatimiza 30yrs.
Ha ha!
Sina hiyo mijiaka 30 mingi sana!
Kuachika mwanaume siachwi naacha!
Kijeiefu Sina la kuteta juu ya hili😉..
 
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
alafu wewe kwenye maswala ya kutafuta wachumba wa kiume sio mgeni aiseee na sasa umekuja kivingine kabisa.

mimi na wenzangu tulijitolea kukuchumbia ila ukatuchuja kisawa sawaaaa na ukaambulia patupu,kwa maana hiyo ile audition inaanza moja tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alafu wewe kwenye maswala ya kutafuta wachumba wa kiume sio mgeni aiseee na sasa umekuja kivingine kabisa.

mimi na wenzangu tulijitolea kukuchumbia ila ukatuchuja kisawa sawaaaa na ukaambulia patupu,kwa maana hiyo ile audition inaanza moja tena

Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe si mgeni kwenye hizi nyuzi humu ndani?![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi sijui kwenye urefu kama nafiti najihisi mimi ni mfupi,lakini kazi nafanya za hapa na pale bado sina kazi ya kueleweka niko Tanga
 
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.

Tako lipo?
 
Back
Top Bottom