Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

kila la kheri mkuu mimi namsubiri baby pujo naona ananikaushia tuu ombi langu wakati nina kila kigezo cha kua mume wake halali kabisa.
 
Hongera sana kama ndiyo wewe huyu...
Manina.. kwa msaada wa VAR
tapatalk_1581874967490.jpeg
 
Tatizo lenu mnamaswali km vile mtu anatafuta ajira..

Utaskia kabila lako..

Kazi yako..

Majina yako..

Elimu..

Yani paka unapoteza hisia kabisa. Unaanza kuhisi upo kwny intaview ya kazi
 
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
Kuwa na subra gonjwa hili la vorona lipite mama. Unaweza olewa baada ya mwezi mme anapatwa na corona anakufa. Unaanza tena upyaaaa kutoa matangazo ya kutafuta mme.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief Sam,mm nashindwa kuelewa kwann wanawake wanapenda wanaume warefu,mfano,mm Nina futi 7.2,ninapovaa nikapendeza,huwa naona wanawake wengi wakiniangalia sana,kwa kweli najihisi kutokujiamini napokuwa natembea njiani.
Tangazo lako wameliona
 
Back
Top Bottom