bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Khantwe we unapenda warefu au wafupi?tuanzie hapo kwanza
Halafu umenifanyia ukatili kwa kusikiliza uongo wa ndugu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khantwe we unapenda warefu au wafupi?tuanzie hapo kwanza
Kaweka kunogesha wa hivi hawezi kufikia hatua hii kujitembeza jf hapa.Hongera sana kama ndiyo wewe huyu...
Kama nilivyosema hapo urefu ni bonus, aah wee mimi yule ndugu yangu namuaminiKhantwe we unapenda warefu au wafupi?tuanzie hapo kwanza
Halafu umenifanyia ukatili kwa kusikiliza uongo wa ndugu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3]umri ukisogea ata punguza vigezo , mambo ya height sio big deal cha msingi ana sifa za kua mme na Baba wa familiaKuna raha mwanaume akivutia yaani hata akiwa mbali ukivuta picha yake ni kulowa tu..inasaidia kudumisha ndoa na kuondoa visirani.
Manina.. kwa msaada wa VARHongera sana kama ndiyo wewe huyu...
Kuwa na subra gonjwa hili la vorona lipite mama. Unaweza olewa baada ya mwezi mme anapatwa na corona anakufa. Unaanza tena upyaaaa kutoa matangazo ya kutafuta mme.Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
hapa ndo urefu wa akili yako ulipoishia?alaf tuanzie hapa kwanin umetubadilishia ID?
Dada wa watu yupo serious ujue...Nyookoa na wewe..!!!
#YNWA
eb toa ilo bichwa uweke sura niiyone inawezekana naongea na jituhapa ndo urefu wa akili yako ulipoishia?
AiseeKuna raha mwanaume akivutia yaani hata akiwa mbali ukivuta picha yake ni kulowa tu..inasaidia kudumisha ndoa na kuondoa visirani.
Tangazo lako wamelionaChief Sam,mm nashindwa kuelewa kwann wanawake wanapenda wanaume warefu,mfano,mm Nina futi 7.2,ninapovaa nikapendeza,huwa naona wanawake wengi wakiniangalia sana,kwa kweli najihisi kutokujiamini napokuwa natembea njiani.
Tafakari hii kituKuna raha mwanaume akivutia yaani hata akiwa mbali ukivuta picha yake ni kulowa tu..inasaidia kudumisha ndoa na kuondoa visirani.
Nayo yameandikwa full package zipo mtaani huku.
Unamaana ndo yeye ??.Hongera sana kama ndiyo wewe huyu...
But n yy kaja n Id y kibazaz et [emoji28]hapa zile ID mmelog out chap chap
mmelog in na zile za kibazaz