Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Mimi, mwanamke akishakuwa single tu siwezi kuwa nae maana haiwezekani wanaume wote hawataki kuwanae halafu mimi ndo nitake.
Hua napenda kukwapua mwanamke wa mtu(ambaye hajaolewa), nahisi nikifanya ivo mwenza wangu hatakuwa na muda wa kuuguza vidonda mimi pia muda huo sina, auguze aliye pigwa chini.

Pia naamini ukiwa kwenye mahusiano ni rahisi kuanzisha mahusiano mengine maana unakuwa hauna shobo.
 
Ukizoea kukwapua IPO siku na wew watakukwapulia broo malipo ni hapa hapa duniani so chunga hilo.na kama unapenda pepo usiogope kifo
 
Ok, ahsante kwa mtazamo wako, uwe na jumapili njema🙏
 
Mbona nabisha hodi DM lakini hunifungulii?
 
Mmh, hapana acha watoto wawe na watoto wenzao
Jamani mmesikia hukooo,watoto tukakojoe tulale,hakuna Chetu mjini😂😂 ........Ila baada ya miezi na cku kadhaa utakuja na thread nyingine kwamba umeshusha umri,si tunakutunza tu😊
 
Jamani mmesikia hukooo,watoto tukakojoe tulale,hakuna Chetu mjini😂😂 ........Ila baada ya miezi na cku kadhaa utakuja na thread nyingine kwamba umeshusha umri,si tunakutunza tu😊
Ok sawa ,subiri huo uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…