Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Yaani wanaume wa Dar wameshindwa kabisa kukutongoza mpaka unaanzisha usi humu ili na sisi wa mikoani tichangamkie fursa?
 
Hapo kwenye urefu basi nimeikosa 𝕤𝕚𝕗𝕒 𝕪𝕒 𝕦𝕞𝕥𝕒𝕜𝕒𝕪𝕖
 
Ungekuwa na mtoto ningekufikiria. Sasa wewe unaona sifa kutokuwa na mtoto umri wote huo? Are you a problematic?
 
Mimi nilikuja hadi PM kwako hujajibu.
Na sifa unazotaka ninazo sasa sijajua unapimaje unaemtaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…