Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.ni muda mrefu Sasa umepita,hebu tujuze hitaji lako lilifanikiwa au vipi?
 
Dah ngoja nijaribu bahati yangu...vipi leo upo free twende lunch tuone kama tuna weza kuwa wapenzi na baadae mume na mke?
Ok kwahiyo unaweza kuona mtu anafaa kuwa mpenzi au mke just kwa kwenda naye lunch? Unataka kumuona anavokula vibaya ama vizuri, unavutiwa na mtu anayekulaje?
 
Ok kwahiyo unaweza kuona mtu anafaa kuwa mpenzi au mke just kwa kwenda naye lunch? Unataka kumuona anavokula vibaya ama vizuri, unavutiwa na mtu anayekulaje?
Hiyo ni starting point...mannerism zake hapo converstaion atakazoanzisha tayari inakupa muelekeo wa kuwa huyu tunaweza endelea kuonana au tupo njia tofauti.
 
Hiyo ni starting point...mannerism zake hapo converstaion atakazoanzisha tayari inakupa muelekeo wa kuwa huyu tunaweza endelea kuonana au tupo njia tofauti.
Ok nimekuelewa vizuri
 
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
Sifa ninazo.
Kazi inakuja kwenye nani bora maana tupo kama buku tulio vutiwa
 
Sifa ninazo.
Kazi inakuja kwenye nani bora maana tupo kama buku tulio vutiwa
Ok unamaanisha hao watu waliovutiwa huwa wanakuja kukuona wewe ndiyo maana unasema mpo buku? Au hii idadi umeitoa wapi?
 
Back
Top Bottom