kwa Mrembo by Nature inabidi uobey tu hamna jinsi coz usipo obey matokeo yake itakua kung'olewa kucha na meno bila ganzi. hahahaaa...!!!. mia
Hawa hawajapita kabisa ofisini kwangu, labda ndo wale waliotapeliwa na mwenyekiti wa kichina manoah, afu kwa rekodi zilizopo ni kwamba manka81 hajapita chumba cha ukaguzi.... Mashaka ni mengi kwa wawili hawa na mimi kama mwenyekiti sitambui couple yao hadi pale vigezo na masharti vitakapozingatiwa...
kwa Mrembo by Nature inabidi uobey tu hamna jinsi coz usipo obey matokeo yake itakua kung'olewa kucha na meno bila ganzi. hahahaaa...!!!. mia
Hawa hawajapita kabisa ofisini kwangu, labda ndo wale waliotapeliwa na mwenyekiti wa kichina manoah, afu kwa rekodi zilizopo ni kwamba manka81 hajapita chumba cha ukaguzi.... Mashaka ni mengi kwa wawili hawa na mimi kama mwenyekiti sitambui couple yao hadi pale vigezo na masharti vitakapozingatiwa...
Mkulu mie mtanikuta hapa Makirikiri pub kwa Mnyamani afu tuelekee pamoja taifani ... BTW. wewe wa jangwani au msimbazi!??
Sandeni, baba nadaiwa cheti vipi hujaniandikisha? au ndo ma:spy: nilinde bwanaHawa hawajapita kabisa ofisini kwangu, labda ndo wale waliotapeliwa na mwenyekiti wa kichina manoah, afu kwa rekodi zilizopo ni kwamba manka81 hajapita chumba cha ukaguzi.... Mashaka ni mengi kwa wawili hawa na mimi kama mwenyekiti sitambui couple yao hadi pale vigezo na masharti vitakapozingatiwa...
Napita 2
Mkuu mi Jangwani damu na nimeshatupia uzi wa kijani na njano ila mi sio liccm
Mrembo by Nature..Tunaendeleaje na mjadala? hadi ulete mburi ye zue kuhuthu maatundu (muombe mtu wa kule akutafsirie)