Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

kwa Mrembo by Nature inabidi uobey tu hamna jinsi coz usipo obey matokeo yake itakua kung'olewa kucha na meno bila ganzi. hahahaaa...!!!. mia

Mkuu kung'oa kucha na meno bila ganzi...!? na wewe unafanya kazi USEREMALA WA TAIFA..? Jero
 
Last edited by a moderator:
ah ah ah! alafu wewe mbona ujaleta vyeti vyako nihakiki? umenza kiburi eeh!

Hawa hawajapita kabisa ofisini kwangu, labda ndo wale waliotapeliwa na mwenyekiti wa kichina manoah, afu kwa rekodi zilizopo ni kwamba manka81 hajapita chumba cha ukaguzi.... Mashaka ni mengi kwa wawili hawa na mimi kama mwenyekiti sitambui couple yao hadi pale vigezo na masharti vitakapozingatiwa...
 
kwa Mrembo by Nature inabidi uobey tu hamna jinsi coz usipo obey matokeo yake itakua kung'olewa kucha na meno bila ganzi. hahahaaa...!!!. mia

orait vigezo na masharti kuzingatiwa. mia. Baba V unilinde nimesahau kifungu kipi cha kanuni ila hili ni tishio la wazi kabisa la jaribio la mauaji)
 
Last edited by a moderator:
Hawa hawajapita kabisa ofisini kwangu, labda ndo wale waliotapeliwa na mwenyekiti wa kichina manoah, afu kwa rekodi zilizopo ni kwamba manka81 hajapita chumba cha ukaguzi.... Mashaka ni mengi kwa wawili hawa na mimi kama mwenyekiti sitambui couple yao hadi pale vigezo na masharti vitakapozingatiwa...

Mi nimeshangaa toka jana wamehanikiza mtaa huu na ngoma yao hii, sasa nikajiuliza ulikuwa wapi au kwen server tena? Ili uone huu ubatili mtupu na manoah naye kaibuka kujipa mamlaka sio yake hatuwezi kumshtaki?

Hivi ulipotoka Baba V hujanionea amu au yupo kwen ukaguzi na Asprin?
 
Last edited by a moderator:
Kaizer Kaizer Kaizer mnapoteamo bila kujijua

Mi nimeshangaa toka jana wamehanikiza mtaa huu na ngoma yao hii, sasa nikajiuliza ulikuwa wapi au kwen server tena? Ili uone huu ubatili mtupu na manoah naye kaibuka kujipa mamlaka sio yake hatuwezi kumshtaki?

Hivi ulipotoka Baba V hujanionea amu au yupo kwen ukaguzi na Asprin?
 
Last edited by a moderator:
Mkulu mie mtanikuta hapa Makirikiri pub kwa Mnyamani afu tuelekee pamoja taifani ... BTW. wewe wa jangwani au msimbazi!??

Mkuu mi Jangwani damu na nimeshatupia uzi wa kijani na njano ila mi sio liccm
 
Hawa hawajapita kabisa ofisini kwangu, labda ndo wale waliotapeliwa na mwenyekiti wa kichina manoah, afu kwa rekodi zilizopo ni kwamba manka81 hajapita chumba cha ukaguzi.... Mashaka ni mengi kwa wawili hawa na mimi kama mwenyekiti sitambui couple yao hadi pale vigezo na masharti vitakapozingatiwa...
Sandeni, baba nadaiwa cheti vipi hujaniandikisha? au ndo ma:spy: nilinde bwana
 
Last edited by a moderator:
orait vigezo na masharti kuzingatiwa. mia. Baba V unilinde nimesahau kifungu kipi cha kanuni ila hili ni tishio la wazi kabisa la jaribio la mauaji)

Kama umetishiwa kuuawa soma signature yako then relax....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mi Jangwani damu na nimeshatupia uzi wa kijani na njano ila mi sio liccm

Hapo tunacheza ngoma moja,mtanipitia hapa Makirikiri tuende tukamshikishe adabu Nyau....
 
Kumbe manka81 na Sandeni ni mtu na mtuwe, Baba V ana hizi habari, na je Asprin alimkagua?

she is mine, si hapa tu! even in actual real life.. kuhusu ukaguzi lazma nitengeneze mazingira mazuri kwanza coz ukaguzi ukiwa na dosari impact yake ni kubwa sana.. Baba V! Tunaomba muda wa ukaguzi usogezwe mbele.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom