Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu washiriki wanaendelea kujiandaa..ngoja niwaandalie posho zao!
Smile, Worry out about posho!
Ipo..halafu Madame B stay calm usiwatie washiriki hamu ya posho, naamini kila mmoja hapa ataufurahia mjadala
U.S.A kunakaribia kukucha nikitegemea Natalia atakuwa hapa muda si mrefu.
Samahani sub-host Mwali, na wewe pia utapata posho.
Naomba ukiingia hapa uendeleze mjadala moja kwa moja!! Ni mjadala wa kichit chat, na hao wageni wetu hapo.
Itapendeza sana kama mjadala utabase zaidi kwenye uzungu na uafrika(weusi)kwa kila kitu na mahusiano..na mengineyo! Aminia..
Lady doctor sogea eneo hili.
​haswaaaa!!Lady doctor sogea eneo hili.
Ndo namshanga huyo Sandeni, eti mjadala.
Kauli Mbiu yenyewe ya JF inasema "MKONO MTUPU HAULAMWBWI"
Sembuse yeye!
Heaven on earth, mwambieni aweke Chapaa ku meza,watu mjimwage.
Ukitaka mtu wa kununua kesi niite.
chapaa ziko ndani ya bahasha unaeza kuwa unachangia mjadala kwa nguvu zote ukijua kwenye
bahasha kuna pesa afu unakuja kukutana na kitu usichotegemea
ko chapaa ku meza ili tujidadafue vizur
Umeona eee!
Ndo yaleyale ya Mwaka 47.
how are you love?
atakuja tu najua
bonge la mmbishi hahaa!
pia ili mjadala uvutie lol,mjiandae
kukwepa mingumi!
how are you love?
Naamini hii itakuwa post yako ya mwisho jf
hahahahahaha huo ni ukweliKwa nini umemuhisia hiyo mwenzio....
wakati huko anajiandaa na thread nyingine sijui this time atawakutanisha kina nani
hahahahahahaha
case gani akanana?
Sandeni nimekuuliza, unalipia muda wa mjadala au? jibu nikupe go ahead
nmekuona tu moyo wangu ukatabasamu. mambo? mia
What that? posho nitawawekea kwenye bahasha..
Mrembo by nature njoo tujadiliane..
Naamini hii itakuwa post yako ya mwisho jf
Ndo mana yake...
Pesa mbele kama tai.