Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

Kwa sababu washiriki wanaendelea kujiandaa..ngoja niwaandalie posho zao!
Smile, Worry out about posho!
Ipo..halafu Madame B stay calm usiwatie washiriki hamu ya posho, naamini kila mmoja hapa ataufurahia mjadala
U.S.A kunakaribia kukucha nikitegemea Natalia atakuwa hapa muda si mrefu.
Samahani sub-host Mwali, na wewe pia utapata posho.
Naomba ukiingia hapa uendeleze mjadala moja kwa moja!! Ni mjadala wa kichit chat, na hao wageni wetu hapo.
Itapendeza sana kama mjadala utabase zaidi kwenye uzungu na uafrika(weusi)kwa kila kitu na mahusiano..na mengineyo! Aminia..

Mjadala Bila Pesa ni Makelele tuuu...
 
Last edited by a moderator:
hahaa hata hao waliopo bungeni ingekuwa maneno matupu wangeenda.......? Madame B naona huyu Sandeni amesahauu kale ka msemo ka enziii kuwa "mkono mtupu haulambwi"

Ndo namshanga huyo Sandeni, eti mjadala.
Kauli Mbiu yenyewe ya JF inasema "MKONO MTUPU HAULAMWBWI"
Sembuse yeye!
Heaven on earth, mwambieni aweke Chapaa ku meza,watu mjimwage.
Ukitaka mtu wa kununua kesi niite.
 
Last edited by a moderator:
Ndo namshanga huyo Sandeni, eti mjadala.
Kauli Mbiu yenyewe ya JF inasema "MKONO MTUPU HAULAMWBWI"
Sembuse yeye!
Heaven on earth, mwambieni aweke Chapaa ku meza,watu mjimwage.
Ukitaka mtu wa kununua kesi niite.

chapaa ziko ndani ya bahasha unaeza kuwa unachangia mjadala kwa nguvu zote ukijua kwenye
bahasha kuna pesa afu unakuja kukutana na kitu usichotegemea
ko chapaa ku meza ili tujidadafue vizur
 
Naamini hii itakuwa post yako ya mwisho jf
 
Back
Top Bottom