Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

Nahitaji mjadala wa wazi na wafuatao.. Smile, Heaven on earth na Mrembo by Nature..kwanza!

Mbona mwenyekiti sina taarifa.... eti Sandeni, je u mgeni hapa galilaya!?
 
Last edited by a moderator:
Mbona mwenyekiti sina taarifa.... eti Sandeni, je u mgeni hapa galilaya!?

Mwenyekiti wa jukwaa! nipe ridhaa yako,
nilikaa kimya baada ya kugundua kuna vipengele nimeruka!
Pia nilitaka washiriki wote wawepo, na naamini utakaa pembeni ukichukua vipengele muhimu.. Hapa anayesubiriwa ni Natalia na Mwali ili shughuli ianze, kizuizi kikubwa hapa ni utofauti wa muda tulionao na umbali wakijiographia usisahau kila baada ya longitude 15(nyuzi) kuna utofauti wa saa.. Tuvute subira ili kuazimia na kutekeleza yale yaliyokusudiwa! Nafurahi kuwaona baadhi ya wadau hapa kama Ruttashobolwa na Arushaone..naamini uwepo wao utakuwa na tija. Ndugu washiriki wetu..tuendelee sasa.
Alijibu Smile, sasa naendelea...
 
Last edited by a moderator:
black cause babu wa loliondo ana unyayo wake! tena alikuwa masai maana mzungu na loliondo enzi za ujima wapi na wapi?

ooh! umegusia swala la ujima..huu unatofauti gani na ujamaa? na huyo mmasai kama mtu wa kwanza alikuwa black kwa evidence ipi? au kwa sababu mmasai wa sasa ni black?
 
Mwenyekiti wa jukwaa! nipe ridhaa yako,
nilikaa kimya baada ya kugundua kuna vipengele nimeruka!
Pia nilitaka washiriki wote wawepo, na naamini utakaa pembeni ukichukua vipengele muhimu.. Hapa anayesubiriwa ni Natalia na Mwali ili shughuli ianze, kizuizi kikubwa hapa ni utofauti wa muda tulionao na umbali wakijiographia usisahau kila baada ya longitude 15(nyuzi) kuna utofauti wa saa.. Tuvute subira ili kuazimia na kutekeleza yale yaliyokusudiwa! Nafurahi kuwaona baadhi ya wadau hapa kama Ruttashobolwa na Arushaone..naamini uwepo wao utakuwa na tija. Ndugu washiriki wetu..tuendelee sasa.
Alijibu Smile, sasa naendelea...

Nakusoma, je hao akina Mwali na Natalia umewasiliana nao kabla hata kwa pm na je wame confirm ushiriki wao!?
 
Last edited by a moderator:
Nakusoma, je hao akina Mwali na Natalia umewasiliana nao kabla hata kwa pm na je wame confirm ushiriki wao!?

Ni mjadala wa wazi tu! mwenyekiti, ndiyo na mimi nawaomba washiriki..nawaomba hapa moja kwa moja, mwenyekiti.
 
Last edited by a moderator:
hahaa hata hao waliopo bungeni ingekuwa maneno matupu wangeenda.......? Madame B naona huyu Sandeni amesahauu kale ka msemo ka enziii kuwa "mkono mtupu haulambwi"

Nakuja kwako sasa! Niambie..umewahi kufanya safari ya zaidi ya saa kumi kwa wakati mmoja?
 
Last edited by a moderator:
njoo kwenye mjadala mrembo! niambie unajua nini juu ya nature na nurture? niambie kwanza asili yako..by zone, afu tuongee!!

In short, it can be said that nature depends on the inherited skills whereas nurture depends on the improved skills.

 
Back
Top Bottom